SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 4,800
- 8,986
Mimi nimkristo all in all kunakipindi na kipindi muazini akiazini na hamu ya kwenda kujumuika nao nakusali . Na asilimia kubwa wanaume wa kislaam wananipendaga , sana. Wengi hutamka ndoa . Wakristo asilimia 10 ndio wanajilazimisha,.
Mie mwenyewe sana napenda kuvaa mahijab yale yakung'aa na kutariziwa nakshi nakshi nilisema nikishika ndoa yangu nakuwa na vaa hayo mahijab .
Halafu napendaga vitu vingi vya waislam shida huwa nakaa kwetu ukristoni ni hii yakuongeza wanawake inanikatisha tamaa ila ukweli ndio huo nawasilisha.
Sasa je kwanini nakuwa kwenye hali hiyo namie ni mlokole ??
Mie mwenyewe sana napenda kuvaa mahijab yale yakung'aa na kutariziwa nakshi nakshi nilisema nikishika ndoa yangu nakuwa na vaa hayo mahijab .
Halafu napendaga vitu vingi vya waislam shida huwa nakaa kwetu ukristoni ni hii yakuongeza wanawake inanikatisha tamaa ila ukweli ndio huo nawasilisha.
Sasa je kwanini nakuwa kwenye hali hiyo namie ni mlokole ??