DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,589
- 99,531
Wakuu,
Tangu xmass sijafungua kabisa Duka langu, niliamua kujipa mapumziko ya hiari mpaka sikukuu zote za xmass na mwaka mpya zipite ndo ntaendelea na biashara.
Siku ya Jana tulikua na miadi ya mtoko mida ya jioni na mpenz wangu maana xmass na boxing day zote hatukutoka tulikua kwny ugomvi mkubwa Sana.
Sasa kwasababu balance yangu ilkua ndogo na ATM kadi iko dukani, ikanibidi niende dukani kufata cash ili tukatoke out na mpenz wangu tukafurahi.
Nikiwa njian naelekea dukani Kuna mteja kanipigia anaulizia mzigo flani, nikamjibu upo. Akasema anamtuma kijana aje kuchukua, nikamwambia Kuna mahali naenda,sitoweza kumsubir uyo kijana wake Hadi afike, Kama inawezekana anielekeze alipo nimpitishie Moja kwa Moja niende zangu,. Kweli kanielekeza, na nmepaelewa.
Tangu xmass sijafungua kabisa Duka langu, niliamua kujipa mapumziko ya hiari mpaka sikukuu zote za xmass na mwaka mpya zipite ndo ntaendelea na biashara.
Siku ya Jana tulikua na miadi ya mtoko mida ya jioni na mpenz wangu maana xmass na boxing day zote hatukutoka tulikua kwny ugomvi mkubwa Sana.
Sasa kwasababu balance yangu ilkua ndogo na ATM kadi iko dukani, ikanibidi niende dukani kufata cash ili tukatoke out na mpenz wangu tukafurahi.
Nikiwa njian naelekea dukani Kuna mteja kanipigia anaulizia mzigo flani, nikamjibu upo. Akasema anamtuma kijana aje kuchukua, nikamwambia Kuna mahali naenda,sitoweza kumsubir uyo kijana wake Hadi afike, Kama inawezekana anielekeze alipo nimpitishie Moja kwa Moja niende zangu,. Kweli kanielekeza, na nmepaelewa.