nauliza kuhusiana na gar aina ya Hammer H3

nauliza kuhusiana na gar aina ya Hammer H3

jacobian

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
417
Reaction score
158
Wadau kama kuna mwenye uzoefu, kuna mbishano , eti gari hiyo ukiwasha tu, ili system ikae poa, mafuta Lita 10 yanaenda, kabla hujaanza kutembea? Mwenye knowledge plz
 
Mafuta yanatumika pale tu engine inapoanza kufanya kazi kuhusu wingi au uchache wa mafuta unaotumiwa na gari inatokana na ukubwa na uwezo i.e cc ya engine then mafuta yanatoka ktk nozzle like spray so fikiria hapo inawezekana hapo gari tu kuwashwa imalize ndoo ndogo ya mafuta labda kama ina 40 cilinder
 
Wadau kama kuna mwenye uzoefu, kuna mbishano , eti gari hiyo ukiwasha tu, ili system ikae poa, mafuta Lita 10 yanaenda, kabla hujaanza kutembea? Mwenye knowledge plz

Hapana,,hiyo siyo kweli,,,mafuta huanza kutumika pale unapoanza kukanyaga accelerator,,,una swali jingine?
 
Wadau kama kuna mwenye uzoefu, kuna mbishano , eti gari hiyo ukiwasha tu, ili system ikae poa, mafuta Lita 10 yanaenda, kabla hujaanza kutembea? Mwenye knowledge plz

hii gari haitumii mafuta....
 
Wadau kama kuna mwenye uzoefu, kuna mbishano , eti gari hiyo ukiwasha tu, ili system ikae poa, mafuta Lita 10 yanaenda, kabla hujaanza kutembea? Mwenye knowledge plz
Ya Leo Kaliii...Ya Leo Kalii...(Wachuja Nafaka)
 
Hapana,,hiyo siyo kweli,,,mafuta huanza kutumika pale unapoanza kukanyaga accelerator,,,una swali jingine?
Unamaanisha ukiwasha gari uiache silence usikanyage accelerator mafuta hayatumiki? Ingekuwa hivyo foleni za mijini zisingekuwa na madhara yoyote kwa uchumi wa madereva.
 
Wadau kama kuna mwenye uzoefu, kuna mbishano , eti gari hiyo ukiwasha tu, ili system ikae poa, mafuta Lita 10 yanaenda, kabla hujaanza kutembea? Mwenye knowledge plz

Hata scania 420 sem huwa haiwi hivyyo
 
Hapana,,hiyo siyo kweli,,,mafuta huanza kutumika pale unapoanza kukanyaga accelerator,,,una swali jingine?

na Gari unapowasha inatumia nini??? hahahahaha pole sana.

Gari ili iweze kuwaka inahitaji MAFUTA.
 
Wadau kama kuna mwenye uzoefu, kuna mbishano , eti gari hiyo ukiwasha tu, ili system ikae poa, mafuta Lita 10 yanaenda, kabla hujaanza kutembea? Mwenye knowledge plz

Hiyo ni kweli ila si kwa Hammer mchakachuo za hapa Bongo,
ni zile hammer za kijeshi, zinakula Mafuta balaaaa!
 
Back
Top Bottom