Nauliza jamani {nokia6300}

Nauliza jamani {nokia6300}

Joshua robin

Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
36
Reaction score
6
Samahanini wakuu, nimenunua kisimu cha nokia kwa mtu{nokia6300}, lakin nikaweka pin code za nokia ila ni badil, lakin inaone zilishwa badilishwa na mwenye simu hazijui. Je ipo njia ya kui restore? Kama njia nyingine tofaut na ku flash nisaidien kwan pin code ni ulinzi kwenye sim yang
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom