Nauliza hivi?

mataka

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
286
61
Habari za leo wachambuzi wenzangu, mi napenda kuwauliza swali moja jepesi, hivi wewe unadhani upinzani wa kweli kwa taifa letu kongwe kiumri na changa kimaendeleo ulikuwepo enzi za mwalimu/ kipindi cha mzee wa ruksa/ au mzee Ben au upo kwa mzee wa kasi mpya, nguvu mpya na ari zaidi au upo katika kipindi chake cha pili cha ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi ? Nitafurahi zaidi ikiwa utanifafanulia kwa marefu na mapana. Ni hayo tu kwa leo.
 
Mie nafikiri upinzani wa kweli ulikuwepo kwenye uchaguzi wa 1995 enze za mzee Ben na pia upinzani wa kweli zaidi ulijitokeza kwenye uchaguzi uchaguzi mkuu wa mwaka jana 2010 kiasi kwamba hata JK na wana CCM wote kukiri kuwa vyama vya upinzani hasa CHADEMA vimeitoa jasho CCM.
 
Habari za leo wachambuzi wenzangu, mi napenda kuwauliza swali moja jepesi, hivi wewe unadhani upinzani wa kweli kwa taifa letu kongwe kiumri na changa kimaendeleo ulikuwepo enzi za mwalimu/ kipindi cha mzee wa ruksa/ au mzee Ben au upo kwa mzee wa kasi mpya, nguvu mpya na ari zaidi au upo katika kipindi chake cha pili cha ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi ? Nitafurahi zaidi ikiwa utanifafanulia kwa marefu na mapana. Ni hayo tu kwa leo.

kheee,kweli nimeamini kuna watu wana-matatizo mengi hadi wanashindwa elewa ni ktk kipindi kipi kulikuwa na upinzani wa kweli ...jamani mataka hivi unasoma kidato cha ngapi?nadhani umezaliwa kipindi cha mwinyi au vp?lakini hata kusoma history na uraia umeshndwa.,lol!?haya ngoja nikupe utamu kidogo mana nimepata bahati ya kuonja radha za awamu zote 4 ,mfumo wa vyama vingi umeanza mwaka 1992 kwa hapa tz na kidunchu upinzani na chembechembe za vyama vingi zikachipua ,zikamea,zikapaliliwa na mwaka 95 ndo ukafanyika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi....mwaka 2000,2005 ndo uchaguzi na upinzani ukawa umeshakuwa na kukomaa ,hadi mwaka 2010 ndio lol,upinzani umekuwa chronic na hadi chama tawala kinapata hofu ya upinzani na kuthibitisha hilo nadhani mwaka 2015 ndo nchi itapata uongozi wa upinzani ,nadhani nimejaribu kukujibu mr,mrs mataka au vp?
 
kheee,kweli nimeamini kuna watu wana-matatizo mengi hadi wanashindwa elewa ni ktk kipindi kipi kulikuwa na upinzani wa kweli ...jamani mataka hivi unasoma kidato cha ngapi?nadhani umezaliwa kipindi cha mwinyi au vp?lakini hata kusoma history na uraia umeshndwa.,lol!?haya ngoja nikupe utamu kidogo mana nimepata bahati ya kuonja radha za awamu zote 4 ,mfumo wa vyama vingi umeanza mwaka 1992 kwa hapa tz na kidunchu upinzani na chembechembe za vyama vingi zikachipua ,zikamea,zikapaliliwa na mwaka 95 ndo ukafanyika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi....mwaka 2000,2005 ndo uchaguzi na upinzani ukawa umeshakuwa na kukomaa ,hadi mwaka 2010 ndio lol,upinzani umekuwa chronic na hadi chama tawala kinapata hofu ya upinzani na kuthibitisha hilo nadhani mwaka 2015 ndo nchi itapata uongozi wa upinzani ,nadhani nimejaribu kukujibu mr,mrs mataka au vp?

ndugu yangu mi nataka kujua kpnd kp hasa upinzani ulikuweko manake icje ikawa nguvu ya soda ebu angalia mwenyewe wanavyotofautiana, zito wakt mwngne kigeugeu anakubaliana na ccm hapo tutasema huo ni upinzani wa kweli? Cdm hawatak kushrikiana na wenzake hapo nguvu ya upinzani wa kweli itatoka wapi? What i thnk iz BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN! Upo hapoooo!
 
ndugu yangu mi nataka kujua kpnd kp hasa upinzani ulikuweko manake icje ikawa nguvu ya soda ebu angalia mwenyewe wanavyotofautiana, zito wakt mwngne kigeugeu anakubaliana na ccm hapo tutasema huo ni upinzani wa kweli? Cdm hawatak kushrikiana na wenzake hapo nguvu ya upinzani wa kweli itatoka wapi? What i thnk iz BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN! Upo hapoooo!

NO LONGER AT EASE,hey mataka mbona unapenda kuchukua subset eti zito,wakati wewe umeelezea upinzani in general perspective ,and what i think IT IS NOT POSSIBLE kumbadilisha uzuzu wake mkwere ,kwa uwepo wa upinzani wa kweli toka cdm ,NO TIME for arguing with the fool,time wil tell na SHUJAA WA KWELI ATAJULIKANA .
 
Back
Top Bottom