nauli ya kwenda Dubai

nauli ya kwenda Dubai

nguvu82

Member
Joined
May 28, 2014
Posts
37
Reaction score
13
hi wana JF nisaidieni, nahitaji kujua nauli ya kwenda dubai yaan go and return inafika kiasi gani hela za kibongo, nataka kwenda kushangaa na kurudi maana nategemea kuchukua leave atleast nikapoteze week moja huko.
 
Inategemea na shirika unalotaka kusafiria ethiopia airline kwenda na kurudi andaa ka 1.2m ila ingia kwenye shirika unalotaka kusafiria check booking nd plan
 
Ndugu wanajamvi mie ningeshauri tuchukulie hapa ni pahala pa kuelimishana, kujuzana, kufahamishana na kuhabarishana mambo mbalimbali kwa faida yetu sote, imekuwa kawaida sana watu kuacha kuzungumzia hoja iliyoletwa na badala yake kutukanana na kuzodoana, hayo yote hayatujengi kabisa, ifike wakati tustaarabike tuwe ndugu, kama huna kitu cha kuchangia ni bora kunyamaza, wala hutapungukiwa chochote, let us be in peace not pieces
 
Nguvu82, point ya kukumbuka ni kuwa nauli ya ndege haiko fixed kama bus, yaani ukifanya booking mapema nauli inakuwa chini, kadiri tarehe ya safari inavyo karibia ndio nauli inazidi kupanda, cheapest way ni kupitia websites za airline zinazo fly kati Dubai na hapo ulipo lakini malipo ni kwa credit au debit card, utakuwa umesave kama $ 50 ya service fee ya travel agent, ila kuna disadvantages zake pia..
 
Cheapest fare piga 0782 039152 kuanzia saatatu
 
Inategemea na shirika unalotaka kusafiria ethiopia airline kwenda na kurudi andaa ka 1.2m ila ingia kwenye shirika unalotaka kusafiria check booking nd plan

Nenda Rwandair mpaka doller 480 unapatanakatanafamilia mapema
 
Nguvu82, point ya kukumbuka ni kuwa nauli ya ndege haiko fixed kama bus, yaani ukifanya booking mapema nauli inakuwa chini, kadiri tarehe ya safari inavyo karibia ndio nauli inazidi kupanda, cheapest way ni kupitia websites za airline zinazo fly kati Dubai na hapo ulipo lakini malipo ni kwa credit au debit card, utakuwa umesave kama $ 50 ya service fee ya travel agent, ila kuna disadvantages zake pia..
hebu funguka hizo disadvantage zake??
 
hebu funguka hizo disadvantage zake??

Inakuwa ngumu kubadilisha tarehe ya kusafiri ikiwa umesha issue ticket kupitia online, mfano upo huko Dubai au ugenini ukaamua ku extended stay yako au kupunguza siku, hapo itabidi uitafute office ya airline husika ( na sio any travel agent ) wakufanyie hiyo changes na kama ndio EMIRATES huwa wana charges kubwa mkuu, lakini kama uli issue ticket kwa T/Agent na mnafahamiana unampigia tu sim akufanyie hiyo changes na kumuahidi utamlipa ukirudi nyumbani kama kuna any charges involved, mara nyingi inakuwa hakuna charges for 1st time change, ila kwa airline lazima ulipie gharama ya ku keep their office running...
 
Si shauri wakati huu kwenda Dubai. Joto na Rutuba ni kali sana. Bora kwenda wakati wa baridi (Nov to Mar).
 
Back
Top Bottom