Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,111
- 18,524
Kutoka wapi hadi wapi kwa hiyo nauli?MIE NILIJUA NAULI ITAKUWA KWENYE 25000 HADI 40000 HIVI
Kutoka wapi hadi wapi kwa hiyo nauli?MIE NILIJUA NAULI ITAKUWA KWENYE 25000 HADI 40000 HIVI
HahaaaaWay to Kigoma ni rough road bt to Emirates ni kapeti tu
Nilichelewa ku-book.Bora...kuna siku nimepanda fastjet Dar-Mwanza 320,000/ one way...sema nilichelewa ku-book
Mbona ziko juu ya fast jet, wakizidi kupandisha litadodaHizi nauli ni offer compared to emirates? Au fast jet na precision? Sijaelewa
Baada ya Rais John Pombe Magufuli kuzindua ndege mbili mpya zitakazotumiwa na Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) mwezi uliopita, shirika hilo limeatangaza rasmi maeneo ya safari za ndege hizo ikiwa na pamoja na nauli.
Kupitia ukurasa wa Twitter wa shirika hilo waliandika kuwa nauli ya safari ya ndege kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza ni shilingi laki moja na sitini (160,000/=).
ATCL wameeleza kuwa nauli za safari kwenye mikoa mingine bado hazijapangwa ila wapo kwenye mchakato.
Baada ya kumalizika kwa ofa iliyokuwa imetangwa na ATCL, Nauli halisi zitakuwa kama ifuatavyo;-
- Dar es Salaam – Mwanza kwenda ni shilingi 160,000 hivyo kwenda na kurudi ni shilingi 320,000.
- Dar es Salaam – Kigoma kwenda ni shilingi 395,000 hivyo kwenda na kurudi ni shilingi 610,000
- Dar es Salaam – Arusha kwenda ni shilingi 160,000 hivyo kwenda na kurudi 320,000
- Dar es Salaam – Mtwara kwenda ni shilingi 226,000 hivyo kwenda na kurudi 452,000
- Arusha – Zanzibar kwenda ni shilingi 249,000
- Zanzibar – Dar es Salaam ni shilingi 123, 000
- Dar es Salaam – Hahaya (Comoros) kwenda ni USD 253
Nauli zote hizi zitaanza kutumia Oktoba 20, 2016.
Hizo bei kiukwel ni za kawaida, kama mnaona kubwa kwakwel endeleen kupanda mabasi muangaike na matochi ya trafic
wanaangaliaaa accessibility ya abiria inawezekana dar -mwanza kuna uwezekano wa kupata abiria wengi zaidi kwa kila trip kuliko dar-mtwara kwa kila tripDar to mtwara 226000
Wakat dar to mwanza ni 160000
HIV wapi ni mbali
Washamba wa safari za ndege utawajua tu. Wao wanafikiri gharama za kusafiri na ndege ziko kama za mabasi i.e. Sehemu ya karibu ni lazima itozwe nauli ndogo na sehemu ya mbali ni lazima ilpiwe nauli kubwa. Gharama za usafiri wa ndege zinakuwa determined na factors nyingi sio umbali....Daah wkt Ethiopia airline wametangaza nauli ya kutoka Dar to Dubai return ticket kwa usd 340 kama 684,000 hivi za kibongo, kumbe bongo hapa hapa kutoka Dar to kigoma tu ni 610,000.
Hahah asee we mjanja panda ya kwenda KIGOMA mi naenda zangu DUBAI asee, usisahau kuja na MIGEBUKA na MAWESE kutoka Kigoma ili niendelee kukuona mjanja wa town. LEKA DUTIGITE kigomaaaa awe kigoma weeee hahah eti mjanja wa KIGOMA.....Washamba wa safari za ndege utawajua tu. Wao wanafikiri gharama za kusafiri na ndege ziko kama za mabasi i.e. Sehemu ya karibu ni lazima itozwe nauli ndogo na sehemu ya mbali ni lazima ilpiwe nauli kubwa. Gharama za usafiri wa ndege zinakuwa determined na factors nyingi sio umbali....
muugiza huooMIE NILIJUA NAULI ITAKUWA KWENYE 25000 HADI 40000 HIVI
Kabs mapanga boy yatuepukeBora uhaingaike na traffic lakini unafika salama na umesave kiasi kikubwa cha pesa
Baada ya Rais John Pombe Magufuli kuzindua ndege mbili mpya zitakazotumiwa na Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) mwezi uliopita, shirika hilo limeatangaza rasmi maeneo ya safari za ndege hizo ikiwa na pamoja na nauli.
Kupitia ukurasa wa Twitter wa shirika hilo waliandika kuwa nauli ya safari ya ndege kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza ni shilingi laki moja na sitini (160,000/=).
ATCL wameeleza kuwa nauli za safari kwenye mikoa mingine bado hazijapangwa ila wapo kwenye mchakato.
Baada ya kumalizika kwa ofa iliyokuwa imetangwa na ATCL, Nauli halisi zitakuwa kama ifuatavyo;-
- Dar es Salaam – Mwanza kwenda ni shilingi 160,000 hivyo kwenda na kurudi ni shilingi 320,000.
- Dar es Salaam – Kigoma kwenda ni shilingi 395,000 hivyo kwenda na kurudi ni shilingi 610,000
- Dar es Salaam – Arusha kwenda ni shilingi 160,000 hivyo kwenda na kurudi 320,000
- Dar es Salaam – Mtwara kwenda ni shilingi 226,000 hivyo kwenda na kurudi 452,000
- Arusha – Zanzibar kwenda ni shilingi 249,000
- Zanzibar – Dar es Salaam ni shilingi 123, 000
- Dar es Salaam – Hahaya (Comoros) kwenda ni USD 253
Nauli zote hizi zitaanza kutumia Oktoba 20, 2016.
Point ya umuhimu sana. Atcl ni taasisi ya serikali inayotoa huduma ya usafiri lkn pia ndani yake kuna kipengele cha biashara japokuwa wanasema serikali haifanyi biashara. Ni vyema nauli zikapangwa kulingana na umbali, idadi ya wasafiri katika route.Very strange.
Kama one way ticket ni 160,000 kwa nini return tciket isiwe chini ya 320,000?
Kwa nini wana encourage watu kukata one way ticket? Hawajui wanaongeza gharama za uendeshaji?
Mtu anayekata return ticket lazima awe na punguzo. Nadra kukuta reurn ticket inakuwa double ya one way ticket.