Yaani utowe hela tu ufanye safar kutoka ulipo kwenda Maputo. Lakin uwe na paspot yako isiyonashida yoyote.Sorry cjakwelewa mkuu?
Inatosha sana iwe safi kabisaMkuu ctemporary passport inatosha??
Ikiwa unayo chukuwa mkuu safari ni hatua.Poa...na nauli ndio iyo kitu kama 4000mtc??
VP mkuu Upo Maputo??Halafu nyie ni wabongo wenzangu kabisa.Msiwe mnarudia huko uswekeni, njooni Maputo karibu na Afrin Hotel tusalimiane.
Jioni tutakwenda maeneo ya Polana Hotel na kumalizia safari yetu fish market.Ila muwe na dokumenti halali za kuzunguka humu mjini.
Samaki nchanga wengi lakini sura kama wang'ata ndimu halafu wapenda raha sana wakati huo huo askari wao ni wasumbufu sana mitaani.
Ila hela yao ina thamani mbele ya dollar.
Mpaka J'berg ni si zaidi ya masaa 7,bata full kipupwe.
Yes,njoo karibu na hapa Afrin Hotel,mbele kuna Polisi post ya feri,nyuma kidogo kuna mall kubwa.Bararabara inayoelekea senta mjini.Maeneo niliyoyataja yote yapo within 200m-400m long na Afrin Hotel,karibu sana Mkuu.VP mkuu Upo Maputo??
Assnte ...naweza kuja nbox mkuu???Yes,njoo karibu na hapa Afrin Hotel,mbele kuna Polisi post ya feri,nyuma kidogo kuna mall kubwa.Bararabara inayoelekea senta mjini.Maeneo niliyoyataja yote yapo within 200m-400m long na Afrin Hotel,karibu sana Mkuu.