Natokaje hapa

Natokaje hapa

Godoro la kioo

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2025
Posts
374
Reaction score
761
Salam wakuu.

Siku ya Leo nimenunua dekoda ya startime ya antenna nimefika nimeiunganisha imeniletea hivi maana yake nini au ndo kusema dekoda imeharibika

Shida hapa nini
IMG_20260123_220152_266.jpg
 
Hata waliokuuzia hii antena si tu walikushangaa, bali pia walitabasamu na mioyo yao ilijaa sana maswali.

Kama ungewatazama usoni pindi unanunua, machale yangekucheza.

Ielekezee antena kwa kuizungusha mahali ambapo itapata mawimbi.

Ila mkuu.. au basi.
 
Hata waliokuuzia hii antena si tu walikushangaa, bali pia walitabasamu na mioyo yao ilijaa sana maswali.

Kama ungewatazama usoni pindi unanunua, machale yangekucheza.

Ielekezee antena kwa kuizungusha mahali ambapo itapata mawimbi.

Ila mkuu.. au basi.
Ko kwamba nimepigwa
 
Back
Top Bottom