EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,108
- Thread starter
- #21
Huyu mpenzi wangu nampenda sana ila ana wapenzi wengi( huwa naikagua simu yake), nimejaribu kumuacha mara nyingi nimeshindwa, hatuishi pamoja ila tuna malengo, nifanyeje ili niachane nae maana nimemchoka kwa tabia yake ya uzinzi
Kwa maelezo yako nahisi unekubaliana na hali halisi kwamba “You are sharing” ni moja ya mbinu ya kudumu kwenye mahusiano lakini chunga sana maana hii tabia pia hupelekea kuwaweka vulnerable kwenye kupata magonjwa yanayotokana na ngono.
Sasa Ushauri wangu ni kwamba, mtu anayekupenda hatadiriki kuwa na mahusiano mengine na hata ikitokea ameteleza basi atafanya juhudi zote usijue. Ukiona anakuonyesha kuwa ana mahusiano mengine basi ujue nafasi yako kwake ni ndogo sana so ni jukumu lako kujipima kama uendelee kuvumilia maumivu na manyanyaso ama uanze upya na mtu atakayekuthamini