Born2shine ya mwenge auM Jr inamaana ni mshana Jr au duh kama ni wewe basi ni hatari!!!!
Kuna dem nampenda ila ananizingua nishaur Mkuu
Ooh mkuuu kumbe wa songeaaaa piaaa tupo went humuu,, mm mfaranyakiii WAP wwNikimwambia siwezi kua nae analia kutwa nzima na analala kazini, ananitext kwamba nimvumilie yeye haoni mwingine pasi na Mimi atajiua au atafanya lolote awezalo ili mwenzake akose pia
Nikimwambia siwezi kua nae analia kutwa nzima na analala kazini, ananitext kwamba nimvumilie yeye haoni mwingine pasi na Mimi atajiua au atafanya lolote awezalo ili mwenzake akose pia
Thanks mzee Jr, ngoja nianze kupiga chepuo Hilo swalaOkay,
Kwanza kupendwa ni Jambo la kheri sana hasa mwanaume anapopendwa na mwanamke na kutamkiwa kama ilivotokea kwako. Sasa kikubwa hapa ni kwamba pamoja na kukupenda we unaonyesha huna hisia naye, ila unamhurumia vile anavyolia na vitisho anavyotoa kwamba atajidhuru iwapo hutakuwa naye.
Sasa kuwa na mtu usiyempenda ni mtihani mkubwa ambao ni busara kuukwepa maana madhara yake ni makubwa kuliko vilio vya huyo binti kwa sasa.
Una mpenzi kwa sasa na inaonyesha mko vizuri kwenye mahusiano yenu, then unatakiwa uomuonyeshe huyo mwingine kwamba kwako hakuna nafasi ya mtu mwingine. Usimpe ishara za kuhisi huenda akafanikiwa Bali kuwa na msimamo ambao hata yeye atauogopa. Inaonyesha kuna na hali unaionyesha ambayo inampa matumaini kwamba huenda akafanikiwa ndio maana anadiriki kutoa hivyo vitisho.
Ukiona huwezi kuhandle hii situation mwenyewe basi mshirikishe mwenza wako (Sio nzuri sana ila inaweza kusaidia)
Ushauri wangu “Usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa”
Na ikitokea huyo mwanamke kajiua kweli?Okay,
Kwanza kupendwa ni Jambo la kheri sana hasa mwanaume anapopendwa na mwanamke na kutamkiwa kama ilivotokea kwako. Sasa kikubwa hapa ni kwamba pamoja na kukupenda we unaonyesha huna hisia naye, ila unamhurumia vile anavyolia na vitisho anavyotoa kwamba atajidhuru iwapo hutakuwa naye.
Sasa kuwa na mtu usiyempenda ni mtihani mkubwa ambao ni busara kuukwepa maana madhara yake ni makubwa kuliko vilio vya huyo binti kwa sasa.
Una mpenzi kwa sasa na inaonyesha mko vizuri kwenye mahusiano yenu, then unatakiwa uomuonyeshe huyo mwingine kwamba kwako hakuna nafasi ya mtu mwingine. Usimpe ishara za kuhisi huenda akafanikiwa Bali kuwa na msimamo ambao hata yeye atauogopa. Inaonyesha kuna na hali unaionyesha ambayo inampa matumaini kwamba huenda akafanikiwa ndio maana anadiriki kutoa hivyo vitisho.
Ukiona huwezi kuhandle hii situation mwenyewe basi mshirikishe mwenza wako (Sio nzuri sana ila inaweza kusaidia)
Ushauri wangu “Usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa”
Na ikitokea huyo mwanamke kajiua kweli?
Aisee jamaa ajitahidi kubalance mambo asije ingia matataniKwanza kutishia kujiua ni kosa la jinai, na kama itatokea amejidhuru kweli basi huyu ndugu atapata msukosuko Kidogo wa kuisaidia polisi. Ushauri wangu ni kureport polisi ili huyu msichana asaidiwe maana hicho ni kitendo kitendo kinachohitaji usaidizi wa kitabibu (Psychiatrist case)
Unaweza kunipa ushauri ili niweze kuishi na mbwa wangu vzr?
Yaani kuna uzi nilitaka kuanzisha kwa ajili yako ila nikaghairi.
Back to the topic nimekumbuka kipindi niko mdogo nilivokua nacheza na mba wetu, hata ukichoka atakufukuza tuu muendelee kucheza. I really miss those days.
Dogs are good friends.
Yaani kuna uzi nilitaka kuanzisha kwa ajili yako ila nikaghairi.
Back to the topic nimekumbuka kipindi niko mdogo nilivokua nacheza na mba wetu, hata ukichoka atakufukuza tuu muendelee kucheza. I really miss those days.
Dogs are good friends.