Natoa mkopo kwa riba nafuu

Natoa mkopo kwa riba nafuu

Nahitaji Trilioni Moja Vipi Ipo, Nataka Nikachukue Kitalu Cha Gesi Mtwara Na
 
1525979_Naughty_op_jpg9cff9a5c03768eec01a36d428e133777

Safi sana. Mpaka masikio yang'oke.
 
Nimeongea naye anasema riba ni 50% na kurudisha mwiso ni 2 months na mkopo hauzidi laki5.
 
mkopo huo kwa dhamana gani ....elezea hata kidogo..we unafikiri kinamba chako kukiweka pale juu umemaliza ?..to maelezo namna ya kukopa+unapatikana wap+mashart yake kdogo weka mawasiliano badae mtu akiwa interested na maelezo machache ndio anakupigia for more info au unapenda kupigiwa kupigiwa.. me najua utakuwa upo kama sio kwa mkweo ,upo kwenye daladala au utakuwa umekaa na watu wenye hadhi..unatata wakujue umuhimu wako kila saa simu... HILO WAZO SIJAKUUZIA WALA KUKUKOPESHA KWA RIBA>>> TANgaza biashara yako vizur
 
Kuna mtu nimempa namb yako ndo akanijib hvyo! Kama umebadilisha namb tupe ili nimpe mteja
 
Nimeongea naye anasema riba ni 50% na kurudisha mwiso ni 2 months na mkopo hauzidi laki5.

mmh!hiyo riba au ujambazi?mnfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhh akamkopeshe mkwewe,au kama anataka ulanguzi aende premier betting kwa walanguzi wanaotumia akili nyingi sio kama yeye khaa!
 
Vipi mkuu, hiyo biashara yako unalipia kodi? Au na wewe ni mmoja wapo wa wanaoongezea deni la taifa kwa kufanya biashara zinazokwepa kodi!!??
 
Kuna jamaa flan kwenye social netwark flani walikua wanatumia jina la mbunge mmoja kutapeli watu eti Save the Children wizi mtupu kuweni makini sana
 
Huyu jamaa anaonekana anazingua, ok mim nakopesha kwa riba ya 20%, dhamana ni kadi ya gari lako, mkopo kwa sasa hauzidi laki tano. Najua jinsi mikopo ilivyo na usumbufu mana hata mim nliwahi taka mkopo humu ndani
 
Huyu jamaa anaonekana anazingua, ok mim nakopesha kwa riba ya 20%, dhamana ni kadi ya gari lako, mkopo kwa sasa hauzidi laki tano. Najua jinsi mikopo ilivyo na usumbufu mana hata mim nliwahi taka mkopo humu ndani

weka namba ya simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom