Habarin za asubuhi wapendwa.
Mim ni graduate wa chuo mwaka huu nimeamua kuwa mjasiliamali huku natafuta kaz pia...nimeanzisha offc ya printing na ninasom machn..
So nahitaji mtu wakufanya naye kazi kwa kutafuta nasoko na kuprint..
Thnx in advanc
Habarin za asubuhi wapendwa.
Mim ni graduate wa chuo mwaka huu nimeamua kuwa mjasiliamali huku natafuta kaz pia...nimeanzisha offc ya printing na ninasom machn..
So nahitaji mtu wakufanya naye kazi kwa kutafuta nasoko na kuprint..
Thnx in advanc
Ndio uwezo wako wa kujieleza ulipoishia hapo hivi ni kweli graduate wewe ?.
Kwenye mitihani ulikuwa unajieleza kwa kuandika maandishi kama unamuandikia mchumba wako kama hivyo kweli ?.
Are you serious with what you are doing ndugu yangu ?.
Tangazo la biashara unafaham linahitaji contents gani muhimu kuweza kumfikia na kumvutia mteja ?.
Kuna mapungufu mengi sana ambayo usipoamua kuchukua hatua ya kujirekebisha itakunyima fursa nyingi ambazo ungeweza kuzipata ila nakutakia KILA LA HERI.
NI USHAURI TU.
Horseshoe Arch yawezkan kwel hayajitoshelz bt cnt explain all ila kama kunakitu unataka jua uliza tu hapo thn mimi ntajibu
Sitaki kuamini kwamba umefungua biashara ya kudurufu makaratasi kitunda,sio kwamba naushusha hadhi mji wetu maarufu kwa uzalishaji wa mayai ila nahoji ulikopata hyo business plan!
Sitaki kuamini kwamba umefungua biashara ya kudurufu makaratasi kitunda,sio kwamba naushusha hadhi mji wetu maarufu kwa uzalishaji wa mayai ila nahoji ulikopata hyo business plan![/QUOTE
Nikwamba hata watu wengi wanao fanya printing kariakoo unakuta sehm ya kufanyia shughuri ipo mahili pengine kwasababu ni vigumu kupata eneo kubwa kwa uendeshaji wa kazi na kuweka mashine unless kwa wale wanaofanya manual zaidi...so nipo kweny mchakato wa kutafuta eneo ambapo itakuwa rahisi kupata wateje bt kazi zitafanyika sehm nyingine kwasababu cost pia zinakuwa juu na kama nilivuosema ndo nimemaliza chuo so sina mtaji wa kuinvest kwny mjini ila nipo nalifanyia kazi kwasababu nimekutana na changamoto nyingi.
Una print vitu gani mkuu...weka vitu unavyo print ili tuweze kukutafuta kulingana na hitaji la soko.
Unge fuata ushauri wa wadau nazani ungefanikiwa lengo lako kwa wepesi zaidi...All the best.