Pweza Boy
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,397
- 3,185
Kama ulimaliza miaka ya nyuma na chrti hauna au uwezekano wa kukipata ni mgumu unajaza vipi?Kama umemaliza mwaka huu form 6 acha kama palivyo sio lazima
Kama ulimaliza miaka ya nyuma na chrti hauna au uwezekano wa kukipata ni mgumu unajaza vipi?Kama umemaliza mwaka huu form 6 acha kama palivyo sio lazima
Kama nimemaliza zamani na sina cheti cha form6??Kama umemaliza mwaka huu form 6 acha kama palivyo sio lazima
Kitafute kilipo uambatanisheKama nimemaliza zamani na sina cheti cha form6??
Huduma bado ni endelevu ndugu zangu now matokeo yameshatoka. Utata ni kiogopo cha kuomba Mkopo kimekwisha. Wanaohitaji kusaidiwa maombi na kuombewa vyuo nitafute kwa namba yangu 0673107645 kama uko Dar ntakufuata popote.
Mkuu how kama matokeo ya diploma hayajatoka unaweza kuomba mkopo?Kama wewe ni muhitaji na uko serious nicheki nkusaidie