Natoa Consultancy Kuhusu Biashara Ya Ufugaji Wa Samaki

Natoa Consultancy Kuhusu Biashara Ya Ufugaji Wa Samaki

Davetz

Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
49
Reaction score
16
Wakuu ninafurahi sana kuona mada mbalimbali zimekuwa zikianzishwa hapa jukwaani kuhusu ufugaji wa samaki, hii inaonesha kuwa watu wengi wameanza kuelewa ufugaji huu na wamekuwa interested kwenye kufuga samaki.

Mada nyingi zilizopo humu zimekuwa zikitoa mwanga kuhusu kufuga samaki, lakini nyingi zimekuwa zipo kinadharia tu na hazielezei the real situation within fish farming on the field, main oppotunities and challenges katika mazingira yetu as well as value chain in fish farming.

Hvyo basi nimejitokeza hapa kuwasaidia wote walio serious na ufugaji wa samaki kwani ni biashara nzuri ambayo watu wengi hawajaielewa. Kwa yeyote mwenye kuhtaji anipatie contact zake ili nami nimpatie zangu tuwasiliane vizuri kwa ajili ya kazi hii.

N.B:

Nimehitimu shahada ya kwanza ya uzalishaji viumbe maji ( B.Sc Aquaculture ) kutoka SUA, pia ninahold Advanced Certificate ya Entrepreneurship and Business Planning kutoka MEBTI.
Kwa sasa najishughulisha na consultancy in fish farming and business planning kuhusu kilimo na mifugo.
 
Naomba kuhamu hicho chuo cha MEBTI napenda nisome hiyo program ya enterpreneurship and Business planning naonba sana kaka
 
mkuu tunashukuru kwa suala ulilopost,unapatikanaje?mkoa,ofisi,contacts,mimi niko mwanza na nilitaka kuwa nazalisha vifaranga palepale bwawani kwangu,nina bwawa ambalo sio operational kwa sasa,hebu tusaidie tutakupataje
 
Wakuu ninafurahi sana kuona mada mbalimbali zimekuwa zikianzishwa hapa jukwaani kuhusu ufugaji wa samaki, hii inaonesha kuwa watu wengi wameanza kuelewa ufugaji huu na wamekuwa interested kwenye kufuga samaki.

Mada nyingi zilizopo humu zimekuwa zikitoa mwanga kuhusu kufuga samaki, lakini nyingi zimekuwa zipo kinadharia tu na hazielezei the real situation within fish farming on the field, main oppotunities and challenges katika mazingira yetu as well as value chain in fish farming.

Hvyo basi nimejitokeza hapa kuwasaidia wote walio serious na ufugaji wa samaki kwani ni biashara nzuri ambayo watu wengi hawajaielewa. Kwa yeyote mwenye kuhtaji anipatie contact zake ili nami nimpatie zangu tuwasiliane vizuri kwa ajili ya kazi hii.

N.B:

Nimehitimu shahada ya kwanza ya uzalishaji viumbe maji ( B.Sc Aquaculture ) kutoka SUA, pia ninahold Advanced Certificate ya Entrepreneurship and Business Planning kutoka MEBTI.
Kwa sasa najishughulisha na consultancy in fish farming and business planning kuhusu kilimo na mifugo.

Una shamba la mfano la samaki? au mifano yako iko tuu kwenye makaratasi Davetz?
 
Naomba namba zako mkuu kwa Ushauri zaid na wa haraka endapo nitahitaji
 
Naomba kuhamu hicho chuo cha MEBTI napenda nisome hiyo program ya enterpreneurship and Business planning naonba sana kaka

Mkuu Usihofu....Chuo cha MEBTI ( Magadu Entrepreneurship And Business Training Institute ) kinapatikana Morogoro Mjini at Magadu Choza Village. P.O Box 1229

Hapo wanatoa training nzuri ya Entrepreneurship and Business Training ndani ya muda mfupi tu unakuwa umeiva.
 
mkuu tunashukuru kwa suala ulilopost,unapatikanaje?mkoa,ofisi,contacts,mimi niko mwanza na nilitaka kuwa nazalisha vifaranga palepale bwawani kwangu,nina bwawa ambalo sio operational kwa sasa,hebu tusaidie tutakupataje

Ahsante Sana Mkuu....Ninapatikana Dar-es-salaam, Kuhusu Ofic kwa sasa sina kwani sina mda mrefu tangu nianze shughuli hii. Kama una ufahamu kuhusu masuala ya biashara utajua kuwa; " secret ya kuanza biashara ni kustart small and if possible at home because two things which kill small businesses are debt and rent ", So for nw am working from hme na nafanya consultancy ninapohitajika.

Kuhusu Contact Zangu Ni Hizi Hapa: phone number: 0688161392, Email Adress: Daveaquatz@gmail.Com.

Tuwasiliane ili nikupe ushauri zaidi kuhusu hlo Bwawa lako na Fingerling Production unayotaka kufanya.
 
Wakuu ninafurahi sana kuona mada mbalimbali zimekuwa zikianzishwa hapa jukwaani kuhusu ufugaji wa samaki, hii inaonesha kuwa watu wengi wameanza kuelewa ufugaji huu na wamekuwa interested kwenye kufuga samaki.

Mada nyingi zilizopo humu zimekuwa zikitoa mwanga kuhusu kufuga samaki, lakini nyingi zimekuwa zipo kinadharia tu na hazielezei the real situation within fish farming on the field, main oppotunities and challenges katika mazingira yetu as well as value chain in fish farming.

Hvyo basi nimejitokeza hapa kuwasaidia wote walio serious na ufugaji wa samaki kwani ni biashara nzuri ambayo watu wengi hawajaielewa. Kwa yeyote mwenye kuhtaji anipatie contact zake ili nami nimpatie zangu tuwasiliane vizuri kwa ajili ya kazi hii.

N.B:

Nimehitimu shahada ya kwanza ya uzalishaji viumbe maji ( B.Sc Aquaculture ) kutoka SUA, pia ninahold Advanced Certificate ya Entrepreneurship and Business Planning kutoka MEBTI.
Kwa sasa najishughulisha na consultancy in fish farming and business planning kuhusu kilimo na mifugo.
Mkuu tunauhitaji sana utaalam wako. Lakini, usianze kwa kukosoa juhudi walizozifanya wenzako kwa maana watu wengi wamefunguka sana kwa hizo nadharia. Itakuwa vema ukianzia walipoishia wenzako. Nina amini kuna watu wako more experienced in the field na theoretically kuliko wewe. Otherwise, karibu sana tusaidie jamii waweze kuona kugundua na kuitmia fursa ya UKUZAJI VIUMBE KWENYE MAJI (AKWAKACHA/UFUAGJI WA SAMAKI.
 
mimi nahitaji sana hiyo ila nahitaji udesign aquaponic system kwa ajili ya shamba langu bagamoyo, ni PM kama hiyo system unaifahamu
 
Unashamba darasa mkuu au?

Mkuu Kuhusu Suala La Shamba Darasa ( Demonstration Pond ) Kwa Sasa Sina. Sababu Kubwa Ya Kutokuwa Na Demonstration Pond Ni Kutokana Na Ukweli Kuwa Kwa Sasa Bado Cjaweza Kuwa Na Uwezo Mkubwa Kiac Cha Kuweza Kununua Eneo, Kuchimba Bwawa, Maintenance Yake Na Management Ya Fish Within.

Ila Siku Za Usoni Natarajia Kufungua Shamba Darasa Soon As Nikipata Uwezo Huo Kwa Sababu Nafahamu Umuhimu Wa Shamba Darasa Katika Kuwaelimisha Watu Vizuri Kuhusu Ufugaji Samaki As They Always Say That " Seeing Is Believing ".
 
Back
Top Bottom