Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Nakumbuka about a month ago MWANAKIJIJI kwenye thread ya Dr Masau iliyofungwa alitoa wazo Serikali yetu iwe ina bail out biashara kama vile serikali ya USA ilivyofanya na Freddie Mac and Fannie Mae. Personally i was totally against it na nikatoa sababu zangu lakini that said kama kuna mtu anaona sawa je mgependa mashirika yepi serikali iyachukue na tafadhali naomba mlete sababu za kitaalam au za kiuchumi kwa nini serijkali ifanye hivyo....badala ya sababu za kisiasa
Mwanakijiji nadhani huu mjadala utakuwa mzuri zaidi ukituletea reasons why our givt should re nationalize baadhi ya mashirika
Hope we might get some different perspectives on this subject in the wake of Northern Rock in UK mwanzoni mwa mwaka na hiii ya Freddie Mac and Fannie Mae in the states
Mwanakijiji nadhani huu mjadala utakuwa mzuri zaidi ukituletea reasons why our givt should re nationalize baadhi ya mashirika
Hope we might get some different perspectives on this subject in the wake of Northern Rock in UK mwanzoni mwa mwaka na hiii ya Freddie Mac and Fannie Mae in the states