colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,926
Kumbuka mtu yeyeto unaweza kumbadlsha na akukupenda kwa dhati, so ni ubunifu wako tu mkuuIf thats the case basi hayo sio mapenzi.
Conditional love haiwezi kumuacha mtu salama.
OK
Sipend nijulikane ila ww inabidi tu nikutumie picha tangu tu unifaham maana leo Mara ya 3 unanituhum hiki kitu..na kupm picha yangu
Ebu jitazame hapo kisha unipe jibuSijui labda nimuulize baba chanja akisema yupo ntakujibu Antonio😀
Cha ajabu na mateso yote hayo anazidi kunenepa tujiandae kukonda aisee,hapo unalazimisha tu
Huwezi kumbadilisha mtu, anaamua kubadilika.Kumbuka mtu yeyeto unaweza kumbadlsha na akukupenda kwa dhati, so ni ubunifu wako tu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Miez 2Ukiona hivyo ujue kuna tatizo LA msingi, umeshaongea nae kwanza kabla ya kuleta malalamiko yako hapa? Kwa wale waliosoma physics tunajua Newton First law of Motion..tafsiri Yake hakuna kitu kinaweza kutoka sehemu moja hadi nyingine bila kuwa na msukumo wa nje! Kwa hiyo na wewe mjiangalie, haya mabadiliko yana sababu na ukizijuwa ndo itakuwa suluhu au amani yako. MNA muda gani tokea muingie kwenye hayo mapenzi?
Sasa mkuu hapo utafanyaje??ni mapenz tu yamepungua hata mimi kuna mmoja nataman kumwacha ila sioni kosa lolote alilofanya kwahyo nakua nampotezea tu nw japo anajitahid kunitafuta any time
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaa, jibu hapo tumepata, huyo jamaa atakuwa alikuwa anapita tu. Pole sana, songa mbele na maisha yako mdada, usiendelee kuumiza kichwa.M
Miez 2
Penzi lao lina umri wa miezi miwili tayari kunawaka moto,kama ni mtoto hata kushika nyonyo hawezi. Hapo kuna mmoja lengo lake lilikuwa kutimiza haja za mwili wake,mwingine akaingia mzima mzimaEveryone is busy,buy it depends with the position you are in someone's life to give you a priority..and chances
Na wewe mchunie uone kama uwaga analeta pozi tu ila anakuhitaji au hakuhitaji kabisaaa
Inaitwa funua kata funika,Hamna kitu hapo. Na kama Ndio alimletea nyodo mpaka akakupata,since when he fuc.k her that's the end of the story. no love,no more.Penzi lao lina umri wa miezi miwili tayari kunawaka moto,kama ni mtoto hata kushika nyonyo hawezi. Hapo kuna mmoja lengo lake lilikuwa kutimiza haja za mwili wake,mwingine akaingia mzima mzima
Inaitwa funua kata funika,Hamna kitu hapo. Na kama Ndio alimletea nyodo mpaka akakupata,since when he fuc.k her that's the end of the story. no love,no more.Penzi lao lina umri wa miezi miwili tayari kunawaka moto,kama ni mtoto hata kushika nyonyo hawezi. Hapo kuna mmoja lengo lake lilikuwa kutimiza haja za mwili wake,mwingine akaingia mzima mzima
Inaitwa funua kata funika,Hamna kitu hapo. Na kama Ndio alimletea nyodo mpaka akakupata,since when he fuc.k her that's the end of the story. no love,no more.Penzi lao lina umri wa miezi miwili tayari kunawaka moto,kama ni mtoto hata kushika nyonyo hawezi. Hapo kuna mmoja lengo lake lilikuwa kutimiza haja za mwili wake,mwingine akaingia mzima mzima