Nateseka jamani mimi Sijui nimekosea wapi

If thats the case basi hayo sio mapenzi.
Conditional love haiwezi kumuacha mtu salama.
 
Kuna watu wana mavyura wamebakia kuwa mpira wa kona tuu kila mtu anapiga
 
Na

Najitahidi sana ananivunja moyo hanisapot mpaka nakata tamaa
Mama usidanganyike sijui fanya hivi sijui nini, mahusiano yanatakiwa yawe two ways trafic. Usipoteze muda wako kulazimisha penzi, utajikuta unakuwa mtumwa daima.
 
Sure, wakati mwingine inabidi uwe na moyo wa chuma kwa manufaa yako binafsi.
 


Kweli my king.. Too much of anything is harmful.. Pole sana mai.




Mahondaw wa Smart911
 
Labda nikuulize kwanza! Je! Una maisha mazuri? I mean una kazi yako either umeajiriwa au umejiajiri? Kama upo njema bac, endelea kupigania penzi Mama, utapata solution one day. Ila kama ww ni maskini/kapuku, usijasahau sana, pigania mambo mawili, umaskini wako cha kwanza, namna ya kutoka hapo ulipo, la pili pigania na hilo penzi ambalo ni haki yako nadhani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure, wakati mwingine inabidi uwe na moyo wa chuma kwa manufaa yako binafsi.

Ni kweli. Mapenzi yanatesa sana, muda mwingine ni bora kujitoa ufahamu uyachukulie kawaida ili maisha yasonge.
Ni mbaya sana kuteseka katika mapenzi huku mwenzako upande wa pili ana nenepa na wewe unateseka kwaajili yake.
 
Mambo ya mapenzi bhana hayana fomula,huyu anayelalamika anaweza kumpata anayemfanyia hayo lakini na yeye akawa ana kiburi na kumtupilia mbali.Tukubali tukatae changamoto za kimahusiano haxiepukiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli. Mapenzi yanatesa sana, muda mwingine ni bora kujitoa ufahamu uyachukulie kawaida ili maisha yasonge.
Ni mbaya sana kuteseka katika mapenzi huku mwenzako upande wa pili ana nenepa na wewe unateseka kwaajili yake.
Kwakweli, bora ufanye mengine ya msingi, japo nalo ni hitaji muhimu ila kama linakutesa tu bora ulipuuzie.
 


Yaani unapima mapenzi kwa sms na kupigiwa simu?
 
OK

Sipend nijulikane ila ww inabidi tu nikutumie picha tangu tu unifaham maana leo Mara ya 3 unanituhum hiki kitu..na kupm picha yangu
Maiii na mimi ntumie nakala pls maana kuna mtu ananileteaga mapicha sometimes kama huyo wako anavyokufanyia, nataka nimtibu kisaikolojia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…