M mkalagale Member Joined Sep 25, 2011 Posts 71 Reaction score 8 Oct 16, 2011 #1 jamaa mmoja alitoka kazin kufika nyumban akamkumbatia mkewe na kuanza kula denda mala mdomoni mwa demu akakuta punje ya wali jamaa akauliza ulikuwa unakula wali demu akasema hapana nilikuwa natapika.
jamaa mmoja alitoka kazin kufika nyumban akamkumbatia mkewe na kuanza kula denda mala mdomoni mwa demu akakuta punje ya wali jamaa akauliza ulikuwa unakula wali demu akasema hapana nilikuwa natapika.
DEVINE JF-Expert Member Joined Mar 11, 2011 Posts 536 Reaction score 87 Oct 16, 2011 #2 Yaakhh! Sa ndo nn kurukia bila hata kusafisha kinywa,mmmmh yaak!
Likwanda JF-Expert Member Joined Jun 16, 2011 Posts 3,926 Reaction score 1,160 Oct 18, 2011 #3 mhhhh, lazima naye atapike huyo.
TANMO Platinum Member Joined Apr 12, 2008 Posts 12,089 Reaction score 12,699 Oct 18, 2011 #4 sad............
Bujibuji Simba Nyamaume Platinum Member Joined Feb 4, 2009 Posts 78,142 Reaction score 166,063 Oct 18, 2011 #5 Lazima upate safura
Bambanza jr. JF-Expert Member Joined Aug 6, 2011 Posts 355 Reaction score 36 Oct 18, 2011 #6 Sio mbaya saaana! Coz c o kicheche"
mchemsho JF-Expert Member Joined Jun 8, 2011 Posts 3,230 Reaction score 936 Oct 18, 2011 #7 Kichefu chefu..