Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,126
- 9,593
Sote tunajua kuwa Ili uwe mgombea halali wa CCM Kwa ngazi ya urais lazima uombe Kwa kuchukua fomu na kuirudisha.
Samia sijawai kumuona akichukua fomu, alijiteua tu bila kufuata taratibu. Inaonekana labda mimi ndo sikumuona akichukua fomu.
So natangaza kitita cha $5000 Kwa mtu atakaenionyesha picha ya Samia akiwa na fomu ya kugombea urais uko CCM.
N.B watanzania hatutaki Rais wa viti maalumu.
Mto wa Mbu
Illinois -USA
Samia sijawai kumuona akichukua fomu, alijiteua tu bila kufuata taratibu. Inaonekana labda mimi ndo sikumuona akichukua fomu.
So natangaza kitita cha $5000 Kwa mtu atakaenionyesha picha ya Samia akiwa na fomu ya kugombea urais uko CCM.
N.B watanzania hatutaki Rais wa viti maalumu.
Mto wa Mbu
Illinois -USA