jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Hili basi limenikumbusha siku naenda kumuona mama yangu mkubwa nikiwa na mfuko wa Marlboro nimewekea nguo zangu!na ndani ya mfuko niliwekewa na bibi karanga na mihogo ya kula njiani!
Kilometa 40 tunatumia masaa 4 Hadi matano.halafu konda ndo mjanja kila abiria anajipendekeza kwake ili tu akupunguzie gharama ya mahindi yaliyoko kwenye carrier.
Halafu chini nimevaa ndala za skyway! shati lenyewe limenivaa oversize eti nikue nalo, kaptula yenyewe ya material ya nylon haiishi mpaka miaka mitano daah!
Kilometa 40 tunatumia masaa 4 Hadi matano.halafu konda ndo mjanja kila abiria anajipendekeza kwake ili tu akupunguzie gharama ya mahindi yaliyoko kwenye carrier.
Halafu chini nimevaa ndala za skyway! shati lenyewe limenivaa oversize eti nikue nalo, kaptula yenyewe ya material ya nylon haiishi mpaka miaka mitano daah!