Zitto kazima ashinde kwasababu jimbo la ubungo wachaga wengi wako ubungo, kimara na mbezi maeneo mengine yote yaliyobaki hakuna wachaga (magomeni, manzese, sinza, mabibo, chuo kikuu etc kote huko zitto atafunika)
true my dearmnyika ni jembe. Zitto hataweza kushinda
Zitto mkongwe kwenye siasa na anajua kujieleza,mbaya zaidi anaijua vema sana hii serikali kwasababu amekuwa kwenye kamati za wizara nyingi na alishiriki kikamilifu kukusanya data katika kamati hizo,mnyika uwezo wake mdogo wa kuchambua na kuelezea mambo.
Siongelei ushabiki ila kama we ni mfatiliaji wa mambo ya siasa na bunge kwa ujumla utaelewa point yangu
Mnyika asahau kura yangu ubungo...simpi hata akishindana na nan..ame prove fail
Hivi nyie mnamjua Mnyika mnamsikia...... mwambieni Zitto agombee Ubungo kama yeye anajiamini......
Vipi Arusha?
Hivi ikitokea Zitto akashinda kwenye jimbo la Ubungo mtayameza haya maneno?
Atashinda Magomeni tuu ila kukingine atashindwa kama mtoto mdogo
Zitto kazima ashinde kwasababu jimbo la ubungo wachaga wengi wako ubungo, kimara na mbezi maeneo mengine yote yaliyobaki hakuna wachaga (magomeni, manzese, sinza, mabibo, chuo kikuu etc kote huko zitto atafunika)
mkuu uma memo dawa chungu......Dsm hatuna upuuzi huo wa kuwa vumilia watu kama mnyika shule imemshinda anakuja kufanya udalali kwenye maisha ya wana ubungo. ..mwambieni aage kabisa maana sisi ndo wapiga kura wake hatumtakiiiiiii.
au akagombee kwa wakwe zakoWanajamvi,
Kiongozi wa ACT-Wazalendo amewahi kusema kuna baadhi ya maeneo amekuwa akiombwa aende kugombea.Mimi ningependa kumshauri agombee Ubungo au kama vipi Arusha Mjini.
Wanajamvi,
Kiongozi wa ACT-Wazalendo amewahi kusema kuna baadhi ya maeneo amekuwa akiombwa aende kugombea.Mimi ningependa kumshauri agombee Ubungo au kama vipi Arusha Mjini.
Duuh!nazan mdau humtakii mema