Atashinda Magomeni tuu ila kukingine atashindwa kama mtoto mdogo
Atashinda Magomeni tuu ila kukingine atashindwa kama mtoto mdogo
Zitto kazima ashinde kwasababu jimbo la ubungo wachaga wengi wako ubungo, kimara na mbezi maeneo mengine yote yaliyobaki hakuna wachaga (magomeni, manzese, sinza, mabibo, chuo kikuu et
c kote huko zitto atafunika)
Zitto kazima ashinde kwasababu jimbo la ubungo wachaga wengi wako ubungo, kimara na mbezi maeneo mengine yote yaliyobaki hakuna wachaga (magomeni, manzese, sinza, mabibo, chuo kikuu etc kote huko zitto atafunika)
Atakapokwenda Ubungo ndo mtajua anadanganya wapumbavu au werevuZitto awadanganye wapumbavu wenzie
Teh teh teheeeeeeeee,, tihi tihi tihi. Jamaa kagusa tigo umeruka kimanga siyo.We nae kumbe mpuuzi eeeeeh???
Maeneo mengi tu hakuna WAchagga siyo magomeni tu.Atashinda Magomeni tuu ila kukingine atashindwa kama mtoto mdogo
Jifarijini tu, mwaka huu mnalo.....msaliti akija anakalishwa tu,mjini watu wanajielewa,achague kijiji ambacho atawadanganya...
Teh teh teheeeeeeeee,, tihi tihi tihi. Jamaa kagusa tigo umeruka kimanga siyo.