Natamani nimtag!!

Natamani nimtag!!

KICHUMVI

Senior Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
113
Reaction score
14
habari wana jf!
Heri ya sikukuu ya eid el hajji
kwa ufipi nilikuwa na girlfriend tulipendana sana nilidumu nae kwa muda wa miaka 5 na mimi ndiye niliyemfundisha mapenzi tangu tupo secondari.
Tuliachana baada ya kunisaliti na kumsamehe mara 3 ilipokuwa chuoni. Lakin kwa sasa tunamawasiliano vizuri lakin kama maraafiki wa kawaida na juzi tulikutana.
Kwasasa yeye ana mpenzi tena nimeona picha kwenye account yake ya facebook amekuwaengaged,
mara nyingi napenda kucomment kikawaida bila mtu kujua kuwa tulishawahi kuwa na mahusiano
kinaniuma zaidi kila ninapocomment huyo mchumba wake nae anakuja kucomment kunionyesha kuwa yeye ndiyo mmiliki wa huyo msichana
na zaidi pia kwenye account ya huyo jamaa ameweka picha za huyo binti (my ex gf) akijisifia kuwa mchumba wake hana skendo yoyote ile na anajiamini kuweka picha yake.
Hili linaniuma sana tena sana jamani natamani nimtag huyo jamaa picha ambazo ni mbaya nikiwa na huyo binti enzi za mahusiano yetu lakin sina ugomvi na binti naombeni mnishauri kwa hili tafadhari!! Nawasilisha
 
Acha roho mbaya ya kutaka kumharibia mwenzio. Angalia ustaarabu wa maisha yako na acha kuingia kwenye page ya huyo binti kule FB. Ukishamuharibia wewe utapata faida gani?

habari wana jf!
Heri ya sikukuu ya eid el hajji
kwa ufipi nilikuwa na girlfriend tulipendana sana nilidumu nae kwa muda wa miaka 5 na mimi ndiye niliyemfundisha mapenzi tangu tupo secondari.
Tuliachana baada ya kunisaliti na kumsamehe mara 3 ilipokuwa chuoni. Lakin kwa sasa tunamawasiliano vizuri lakin kama maraafiki wa kawaida na juzi tulikutana.
Kwasasa yeye ana mpenzi tena nimeona picha kwenye account yake ya facebook amekuwaengaged,
mara nyingi napenda kucomment kikawaida bila mtu kujua kuwa tulishawahi kuwa na mahusiano
kinaniuma zaidi kila ninapocomment huyo mchumba wake nae anakuja kucomment kunionyesha kuwa yeye ndiyo mmiliki wa huyo msichana
na zaidi pia kwenye account ya huyo jamaa ameweka picha za huyo binti (my ex gf) akijisifia kuwa mchumba wake hana skendo yoyote ile na anajiamini kuweka picha yake.
Hili linaniuma sana tena sana jamani natamani nimtag huyo jamaa picha ambazo ni mbaya nikiwa na huyo binti enzi za mahusiano yetu lakin sina ugomvi na binti naombeni mnishauri kwa hili tafadhari!! Nawasilisha
 
acha roho mbaya ya kutaka kumharibia mwenzio. Angalia ustaarabu wa maisha yako na acha kuingia kwenye page ya huyo binti kule fb. Ukishamuharibia wewe utapata faida gani?
nimekusoma
 
Achana nae na kama unataka usiendelee kuumiza moyo wako, mfute kabisa kwenye friends list yako, yaani kwa ufupi kata mawasiliano nae japokua hamjagombana , ila fanya hili kwa ajili ya happiness yako na pia uweze kumove foward na maisha yako.
 
dawa hapo ni moja tuu...mgegede huyo binti basi...tena ulishakuwa nae basi kukumbushia wala sio tatizo mwana.
 
habari wana jf!
Heri ya sikukuu ya eid el hajji
kwa ufipi nilikuwa na girlfriend tulipendana sana nilidumu nae kwa muda wa miaka 5 na mimi ndiye niliyemfundisha mapenzi tangu tupo secondari.
Tuliachana baada ya kunisaliti na kumsamehe mara 3 ilipokuwa chuoni. Lakin kwa sasa tunamawasiliano vizuri lakin kama maraafiki wa kawaida na juzi tulikutana.
Kwasasa yeye ana mpenzi tena nimeona picha kwenye account yake ya facebook amekuwaengaged,
mara nyingi napenda kucomment kikawaida bila mtu kujua kuwa tulishawahi kuwa na mahusiano
kinaniuma zaidi kila ninapocomment huyo mchumba wake nae anakuja kucomment kunionyesha kuwa yeye ndiyo mmiliki wa huyo msichana
na zaidi pia kwenye account ya huyo jamaa ameweka picha za huyo binti (my ex gf) akijisifia kuwa mchumba wake hana skendo yoyote ile na anajiamini kuweka picha yake.
Hili linaniuma sana tena sana jamani natamani nimtag huyo jamaa picha ambazo ni mbaya nikiwa na huyo binti enzi za mahusiano yetu lakin sina ugomvi na binti naombeni mnishauri kwa hili tafadhari!! Nawasilisha

We ndiye uliyemwagwa! Yaani watu tuna roho za ajabu sana! Kinakuuma nini sasa? Eti wewe ndo uliyemfundisha mapenzi! Wewe ulifundishawa mapenzi na nani? Mtu akiachana na mpenzi wake hataki kuona anapata mpenzi mpya.
Acheni roho mbaya. Fata yako! Usijeshangaa hata huyo uliyenaye kuna aliyeanza naye!
 
achana nae na kama unataka usiendelee kuumiza moyo wako, mfute kabisa kwenye friends list yako, yaani kwa ufupi kata mawasiliano nae japokua hamjagombana , ila fanya hili kwa ajili ya happiness yako na pia uweze kumove foward na maisha yako.

thnx lateni
 
Wewe unaumia kwa sababu unapenda kufatilia na kujua kinachoendelea katika mahusinno yao, ukiweza kuacha hili, hautamia tena, Au bado unampenda huyo dada?
 
wewe unaumia kwa sababu unapenda kufatilia na kujua kinachoendelea katika mahusinno yao, ukiweza kuacha hili, hautamia tena, au bado unampenda huyo dada?
kiukwel nampenda lakin kwasasa siwez kuwa nae coz sio mwaninifu na yeye huwa anitafuta mwenyewe kwanye simu yangu
 
Mh mkuu kama hupend kuumia bas mpotezee,usihangaike naye!m-block huko kwa FB then move forward wit ur life!huyo mshkaj utoto tu unamsumbua akikua ataacha!
 
kiukwel nampenda lakin kwasasa siwez kuwa nae coz sio mwaninifu na yeye huwa anitafuta mwenyewe kwanye simu yangu

Hapo kwenye red, ndio panaweza pakasababisha tatizo lako la kuumia moyo likawa endelevu, kama hautafanya maamuzi ya kumaanisha. Njia nzuri ni kukata nae mawasiliano, maana huyo dada akishagundua kua bado unampenda , atakutesa sana, utashindwa kuendelea na maisha yako, na hata kama itatokea mje kurudiana bado atakutesa maana kashajua weakness yako, ni kua unampenda sana na hata akikucheat utasamehe tu.
 
nani alikuwa analalamika hapa wanawake wana kisasi?

Hii imeonesha baadhi ya wanaoumizwa wanakuwa na kisasi.

Ila cha muhimu wee kaka, acha kuwasiliana kabisa na huyo dada huko fb hadi utakapopata wako na kidonda cha kuachana kipone.
 
nani alikuwa analalamika hapa wanawake wana kisasi?

Hii imeonesha baadhi ya wanaoumizwa wanakuwa na kisasi.

Ila cha muhimu wee kaka, acha kuwasiliana kabisa na huyo dada huko fb hadi utakapopata wako na kidonda cha kuachana kipone.
:A S thumbs_up:
 
Uwezi fundisha samaki Ogelea wew...
Mara tatu kakufanya bado unasema,we ndo ulimfundisha..?
we unataka jamaa aseme demu wake malaya..?kila mtu lazima ajivunie alichonacho...
Acha ushamba kaka,ikiwa ww ulitendwa mara 3 itakuwa mchz ukiweka picha..?nae ataesabu ya kwanza..
Chukulia pouwa ndo ilivyo hyo..
 
Wivu sina ila roho inauma,kuwaza tu hili ni upumbavu halafu kutenda ni wehu kwa hyo toa huu uchafu kichwani kwako,tena humpendi maana ukiwaza hivi ni kuwa na roho ya kwa nn,mwache mwenzio aenjoy maisha your time n chance is gone buddy,halafu watu hubadilika pia,na as long as jamaa hakumkuta bikira anajua mpo mliopita kwa hyo picha sio issue sa ukiweka akasema alicheat coz una kidogo au chembamba au lolote utajisikiaje?forget it,
 
Acha roho mbaya ya kutaka kumharibia mwenzio. Angalia ustaarabu wa maisha yako na acha kuingia kwenye page ya huyo binti kule FB. Ukishamuharibia wewe utapata faida gani?

wel said, she has moved on why dnt u do the same?
 
Back
Top Bottom