Natamani ndoto yangu itimie?

Natamani ndoto yangu itimie?

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,913
Reaction score
3,738
Nimeota jana ndoto Tanzania wameshinda Afcon.

Mechi hiyo ya fainali ilikuwa Morocco vs Tanzania. Tanzania walinyakua ubingwaa baada ya kuifunga Morocco 3-1.

Nataman hii ndoto itimie mwaka ujao.

Jamani Tanzania itambulike kimataifa.
 
Back
Top Bottom