Bookschool
Member
- Dec 28, 2010
- 9
- 0
Chagua CCM tena 2015
lawama ni kwa Dr Slaa anayesubotage mageuzi ya kweli kwa kusupoti mafisadi kwa mlango wa nyuma
je una uhakika na unachokinena?
Ndugu zangu mi NATAMANI MWISHO DUNIA Ufike, maana Nimechoka na Matendo na Mambo yanatokea Nchii hii Tanzania, Kwani naw.......
Sukari Juu, Unga Juu, Mafuta Juu, Umeme Juu, Maji Juu, Maharage nayo kimbilio JUU. Sasa Wananchi wasio na uwezo au Kazi watafanyeje?, Na bado tena Siasa hiyo?
Nazan Mwisho wa Dunia UFIKE, Ili watu wakapumzike- Nazani YOTE haya YATAISHA.
Ndo hali ya dunia ndgu yangu.. Sasa kabla ya kutamani mwisho wa dunia he umejiandaa vipi kwenda kwa Muumba wako?????
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
je una uhakika na unachokinena?
Ndugu zangu mi NATAMANI MWISHO DUNIA Ufike, maana Nimechoka na Matendo na Mambo yanatokea Nchii hii Tanzania, Kwani naw.......
Sukari Juu, Unga Juu, Mafuta Juu, Umeme Juu, Maji Juu, Maharage nayo kimbilio JUU. Sasa Wananchi wasio na uwezo au Kazi watafanyeje?, Na bado tena Siasa hiyo?
Nazan Mwisho wa Dunia UFIKE, Ili watu wakapumzike- Nazani YOTE haya YATAISHA.
ujjiandae usijiandae mwsho n mwsho tu msijambe maputo
Siku utakapo jinyonga usiandika kwenye jf hatutaki ushahidi