Natamani mwisho wa dunia ufike

Bookschool

Member
Joined
Dec 28, 2010
Posts
9
Reaction score
0
Ndugu zangu mi NATAMANI MWISHO DUNIA Ufike, maana Nimechoka na Matendo na Mambo yanatokea Nchii hii Tanzania, Kwani naw.......

Sukari Juu, Unga Juu, Mafuta Juu, Umeme Juu, Maji Juu, Maharage nayo kimbilio JUU. Sasa Wananchi wasio na uwezo au Kazi watafanyeje?, Na bado tena Siasa hiyo?
Nazan Mwisho wa Dunia UFIKE, Ili watu wakapumzike- Nazani YOTE haya YATAISHA.
 
SchoolBook JIPE MOYO, Muombe MUNGU yote Yatakwisha, kuwa na Imani, Mungu ANAWEZA ndugu yangu, JIPE Moyo.
 
Usihofu ndugu, subiri tarehe 21 december 2012.
 
Umesahau pi idadi ya wanaoingia kuzimu juu
 
Acha uwoga wewe! pambana mpaka kieleweke hapo ulipo wewe ndio uwe mwanzo wa mabadiliko tutaishi kifala mpaka lini? Aaaarrghh?
 

Ndo hali ya dunia ndgu yangu.. Sasa kabla ya kutamani mwisho wa dunia he umejiandaa vipi kwenda kwa Muumba wako?????


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Ndo hali ya dunia ndgu yangu.. Sasa kabla ya kutamani mwisho wa dunia he umejiandaa vipi kwenda kwa Muumba wako?????


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk

ujjiandae usijiandae mwsho n mwsho tu msijambe maputo
 

wabongo mnavyopenda short cut sijui nani kawaroga,kwa taarifa yako mwisho wa dunia haufiki wala nini na cha moto tutazidi kukiona hadi akili zitakapotukaa sawa tukaacha kushabikia upuuzi wa ccm
 
Mwanaume rijali hakimbiagi tatizo bali hukabiliana nalo. Sasa wewe ukimbia mkeo nae akimbie itakuwaje? Komaaaaa.
 
Mbona nasikia mwisho wenyewe ni wiki ijayo tu, kuna thread humu inasema around 21st and 23rd this month!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…