Natamani kuwa PAKA

Robot la Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
8,584
Reaction score
17,527
The world ain't fair


Paka huyu Choupette amegonga vichwa vya habari kote duniani kwa
1.Kuwa na utajiri wa dola milioni $15m
2.Anadereva wake
3.Anawahudumu 2 (Françoise & Marjorie)
4.Ana mrembeshaji 1
5.Analala kitandani
6.Anakula mezani
7.Safari zake nyingi ni za ndege za kibinafsi
8. Anamiliki ukurasa wa instagram wenye wafuasi 260k
9. Anamiliki ipad
10. Alilipwa dola milioni $3 kwa kushiriki maonyesho

Soma zaidi kuhusu Paka huyu bilionea hapa
Choupette: Paka mwenye utajiri wa mamilioni ya dola
: choupettesdiary Instagram

View attachment 1029119
 
Ukisikia ukichaa wa mzungu ndio huu

Jr
 
Unatamani kua paka hapa duniani mungu hakujibu anasuburi ufe ukawe paka shume huko mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanateseka hata kwa kupata mlo mmoja kwa siku lakin wengine wana mjazia Paka pesa kwenye Accounts wakat kimsing hawez kuzifanyia matumiz binafsi..
Kweli Dunia haiko fair

Sent using Jamii Forums mobile app
Je huyo aliyemlisisha paka wake Mali ndio kasababisha hao unaowasema wale mlo mmoja au walale njaa? Acheni kutia lawama kwenye jitihada za watu
 
Kuna watu wanateseka hata kwa kupata mlo mmoja kwa siku lakin wengine wana mjazia Paka pesa kwenye Accounts wakat kimsing hawez kuzifanyia matumiz binafsi..
Kweli Dunia haiko fair

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani anapanda private jet bure? Na hao wahudumu wake si wanalipwa mshahara? Na chakula chake je? Maintenance ya nyumba na property right vipi? Unasemaje hawezi zitumia hizo fedha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…