Natamani kuwa Mkenya

Tatizo la bongo kuna siasa maneno mengi bila vitendo


hapo ndo panapokera maneno meengi mara maisha bora kwa kila mtanzania huku hata maji safi ni tatizo sasa ni safari ya matumaini utafikiri nchi ina ngoma hadi inakera! mafisadi wameshika hatamu kila leo wanasafiri nje wanaona maendeleo ya wenzao ila wakirudi bongo hata hawajifunzi wao wanawaza kuiba tuuu!!!! hata mimi ningekuwa bongo nadhani ningehamia kenya kabisa napapenda nairobi sema sasa hao alshabab hapo ndo tatizo.
 
kenya watu wanajitambua aisee sio kama tanzania hata ukiangalia siasa ya kenya ni tofauti kabsa na bongo. Huku lowasa anajulikana ni mwizi na hawezi kuongea lakini coz anatumia hela basi watu wanataka achukue nchi ili wanufaike baadae that shame

unaizijua siasa za kenya vizuri au unaropoka tu?
 
Kamwe usikane kwenu.
Hao .... unaowatamani wana shida nyingi sana. Bora hapa maghorofa ya mjini yanajengwa na kina LAPF, GEPF, NSSF, NHC.
Hao ..... kila jengo la mzungu
Tanzania ni nchi nzuri sana.
Muombe Mungu akusamehe.
Afu waonekana huna kazi we ......
Maana ungekuwa na kazi hakika unhefanya juhudi ili unapoishi pawe kama utakavyo....
Wewe.... sana
 

hahaha ati kila jengo la mzungu SMH
 

tena fanya fasta upeleke makalio huko,mijitu kama nyie ndio mizigo nchini,hata aibu hauna unabwabwaja upuuzi,uliyelaaniwa wewe na wenzio wenye akili kama zako,kweli ushamba mzigo,sasa ukienda kwa mzungu si ndio utataka ugawe nanii ili wakukubali huko?fanya kazi jitume acha kutamani vya wenzio,ukiona vyaelea ujue vimeundwa ohoo...
yani we ngaba kweli wewe,nyie ndio mliokimbia sitimbi kwa stori ya maghorofa ya mzizima,badilika...
 

Kenya wako mbele yetu 10 yrs plus ni ukweli mchungu
 

Hapo umeenda Kenya tu,Je ukienda uingereza utataka kuwa bwabwa?
 
nenda huko kenya kama wewe ni mwanariadha c ungekimbia
 

Ukipata uraia wa Kenya usisahau Garrisa kuna nyumba nzuri za bei nafuu
 

Well said
 
Sasa kama ndo hivyo kwanini usitamani kuwa Mjapani au Mchina?
 
hauna tofauti na mwanamke anayetamani kuwa mwanaume au mwanaume anayetamani kuwa mwanamke. Ni ujinga tu!
 
Usiiikatie tamaa nchi yako,hapa ndo nyumbani ni zambi kuikatia tamaa nchi yako..we ipende na pambana kama watu wengine lakini usiikatae hata kwa dawa wala kutamani ungezaliwa kwingine hapa ndo nyumbani bro
 

We ni mtumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…