Mechanical engineering soko la ajira linetawaliwa na mafundi wasio na elimu.
Ufundi hautazami cheti bali ni ujuzi wa kufufua mitambo ama engine zilizofeli.
Hivyo waajiri hawaoni umuhimu wa kuajiri mechanical engineers wengi. Maana wanajua kazi zinafanywa na mafundi wa mitaani tu wenye uzoefu wanaajiri engineer mmoja tu wa kuzugia