Natamani kusoma Australia

Natamani kusoma Australia

Bouja

Senior Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
173
Reaction score
127
Habari wakuu
Elimu yangu Ni kidato cha sita comb pcm ndio nasubiri matokeo mwakahuu nawezaje kupata scholarship nchini Australia maana imekua Ni ndoto yangu kusoma uko lakini sina uwezo
 
Habari wakuu
Elimu yangu Ni kidato cha sita comb pcm ndio nasubiri matokeo mwakahuu nawezaje kupata scholarship nchini Australia maana imekua Ni ndoto yangu kusoma uko lakini sina uwezo
Cha muhimu kuwa makini na utapeli tu vyoo vipo vingi gharama yake ni kubwa sana scholarship ni za kubahatisha hasa hizo full,
Karibu sana Canberra
 
jinsi nimefanya mtihan naamin nitafaulu ndio maana nataka ntafute fursa kabsa
Faulu kwanza,

Scholarship za undergradutes ni ngumu na ni chache,

Scholarships nyingi ni kuanzia postgradutes ( madters & PhD )

Note: Ni ngumu sana kupata scholarship za kusoma kozi zenye miaka mingi.

Vile vile watoa scholarship pia wana mission zao, hivyo siyo kila kozi unaweza kupata scholarship
 
Faulu kwanza,

Scholarship za undergradutes ni ngumu na ni chache,

Scholarships nyingi ni kuanzia postgradutes ( madters & PhD )

Note: Ni ngumu sana kupata scholarship za kusoma kozi zenye miaka mingi.

Vile vile watoa scholarship pia wana mission zao, hivyo siyo kila kozi unaweza kupata scholarship
nimekupata mkuu
 
Back
Top Bottom