Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu suala la wivu halina elimu kabisaa na hakuna binadamu asiyekuwa na wivuMambo Eddy..
Ni naomba kumsaidia kidogo hapo kwenye Degree.
IPO hivi kwanza naomba tukubaliane Elimu in M Transform MTU.Anakuwa Na Capability Na knowledge kubwa ya kutathmini Na kuchambua mambo
Angalieni ambao wameishia la 6 B Ni majanga sana.Yeye anawaza kuibiwa mwenzi hata akienda msibani.
Thinking capacity yake mdogo.So walau waliosomasoma hata kufika form Four or Six, Diploma au kuendelea.Ni rahisi Kucope nao.
Angalizo Kuna wachache wasiosoma( Wana Elimu kidogo chini ya tajwa hapo) wana busara sana Na huwezi amini na hata wakifanikiwa huajiri wasomi kuwassidia( Education is the best in the World)but most of them Ni Majanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Single mother mna matatizo mengi sana...watu wakisema humu mnawajia juu!!
Nasema hivi kilimkimbiza mume wako, lazima kitamtafuna na huyu unayemtafuta saizi!
Ushauri tafuta bodaboda umlee, achana na habari za degree..tushashtuka hatukamatiki kizembe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye mapenzi, Upendo wa dhati huwa hauchagui elimu, kazi, sura wala umri.. Unajikuta tuu ushapenda. Lakini kwa upande wako unachagua wa hadhi yako na hiyo ndo huwafanya wengi kukosa wenzi..
Tulia mwambie Mungu akuletee wako, huyoo wa kuchagua hivyo waweza mpata ila akawa anacheza tuu na hisia zako, akichoka ataondoka..... Kuwa makini
Yawezekana mmewe alikuwa hana degreeNi kweli, inaonesha yeye mwenyewe hajitambui wala hajui anataka nn ktk ndoa. Kaweka vigezo ambavyo havina mashiko kabisa na kimsingi vigezo hivyo havina msaada wowote ktk ustawi wa ndoa. Probably huyu dada ndio alikuwa wrong person kwa huyo mume wa kwanza. Akakae na ajipange upya.
Extend your hand in kindness and offer help to the most in need
Hata mimi natamani aisee [emoji22] [emoji22] [emoji22]Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single now natamani kuolewa, I need to be with man, sio kwamba siwezi kuendesha maisha yangu la hasha, naendesha vizuri tu but naona kuna haja ya kuwa na mwanaume.
Natamani kupata mwanaume mkubwa mwenye miaka kuanzia 35 mwenye kujitambua, aliyesoma kuanzia degree moja, anayemcha Mungu, na pia anayejua namna ya kupenda.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
trueutakuta yeye ni lasaba b alaf anataka degree kwani wewe mnyankende ?