Natamani kuoa Muzungu...!!!!!

Natamani kuoa Muzungu...!!!!!

We Gefu kwanza ubuheri ? Mbona umekuja na speed hivyo? si ungeaanza na wahindi au waarabu au hata wachina. Mara moja wadhunghu!! mmhh Sawa mkuu basi ujaaliwe Mcanada bomba!!

...mkuu niko poa, kwenye utangulizi nimeeleza wazi kiongozi kwamba baada ya misele ya kutosha, so huko kote nimeona kuna mapungufu. nimeangukia udhunguni...
 
Bila kusahau begi kubwa mgongoni ikiwezekana hata mawe ubebe huku unaimba imba:love:

..mmmhhh..miss ,kuimbaimba,..? si ntaonekana kama nimepiga kitu cha arsha...!
 
Ipo siku utagundua kuwa mzungu ni sawa na binadamu mwingine yeyote tu. pengine utakuwa umechelewa. Kila la kheri!

...mkuu huoni kama atakuwa sawa na binadamu wengine mimi ntakuwa nimepata ziada, "satisfaction"...
 
Hapo kwenye RED umeua mkuu, nimecheka mpaka machozi yamenitoka. Dah! JF kibokooooo.

...mkuu si unajua watu wanakujaga na gia kama hizi kukukatisha tamaa, naamini hapo tutakuwa tumesolve hilo tatizo...
 
Chief wapo wengi sana pale picolo hususan siku za ijumaa. Au level 8 pale napo mzuka ila beware ya wazungu wa rufiji.
...nipe muongozo mwana, nataka mmoja, ivi wapo wenye afrcan figure..?
 
Looh; Baada ya kusaka na kupiga darubini !! nimeona huko kisiwani kwenye resorts kuna makundi ya wadhunghu pori wanajianika hapa na pale!!Sasa tupe wasfu tupate kushughulikia tenda hiyo!! japo mie sii kuwadi niliekomaa nimsaada tu! nakutakia heri.
 
Mazee baada ya misele ya kutosha sasa naona nivute mzungu!!!!!!!!!!
Kiukweli wazungu wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda uharibu, hapo hakutakalika !!!!!

Mzungu mwenyewe awe kutoka kwa Obama, uingereza na vinchi vingine, ikiwa pamoja na wale wanaoishi bongo nitawafikiria baadae sana.

Suala la ngozi nyeupe sijui ni wabaridi, tutawasha hita huko mtoni mambo yatakwenda freshhh.

Kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
alete cv nimuasesi kwanza.:welcome:

cc Heaven on earth

Pole sana, sikushauri hata kidogo! U are lost with that silly wish! Labda km unataka kuolewa, jaribu kutoka tz uende amerika, europe ama OZ utamielewa
 

Mimi nimeolewa na mzungu huyo anataka kuoa.Ndoa ni ndoa struggle ni hizo hizo wanaume wa kiafrica mmefulia .African men hata tip restaurant tabu kutoa ,mikono yenu migumu inachibua mwili,hampaki deodorant ,mnapaka Vaseline sio lotion ,you can't swim that much ,no table manners mnaongea uku mnatafuna,mwanamke akiwa Kama porno Mbele yenu mnaita malaya,akimeza oh nani kakufundisha,hamna suruali za njano ,pink ,mistari,na mikanda ya rangi Utaumbuka .Tunatembea bila nguo na kulala bila nguo .Goodluck Lazima uwe na Pesa mnooooooooo
 
Last edited by a moderator:
Hawana jipya kwani alichonacho mwafrika na yy ndio hicho hicho anacho cha zaid rangi tyuuuuuu mzaazi
 
Pole sana, sikushauri hata kidogo! U are lost with that silly wish! Labda km unataka kuolewa, jaribu kutoka tz uende amerika, europe ama OZ utamielewa

...aaaah ..! mkuu zile methali za samaki mmoja akioza wote wameoza zimethibitika hazina ukweli mazee,mutoto ya kidhungu ndo habari ya mujini kiongozi....
 
Mimi nimeolewa na mzungu huyo anataka kuoa.Ndoa ni ndoa struggle ni hizo hizo wanaume wa kiafrica mmefulia .African men hata tip restaurant tabu kutoa ,mikono yenu migumu inachibua mwili,hampaki deodorant ,mnapaka Vaseline sio lotion ,you can't swim that much ,no table manners mnaongea uku mnatafuna,mwanamke akiwa Kama porno Mbele yenu mnaita malaya,akimeza oh nani kakufundisha,hamna suruali za njano ,pink ,mistari,na mikanda ya rangi Utaumbuka .Tunatembea bila nguo na kulala bila nguo .Goodluck Lazima uwe na Pesa mnooooooooo

... mkuu acha kuua basi, kwani hii mutoto ya kidhungu ukiipa mambo ya ukweli, bado atakomaa na pesa tu...? anyway mkwanja si unatafutwa tu..sio ishu sana, hayo maadili ya kidhungu ntajifunza tu na ye ntampa kali za kibongo, so ngoma droo...
 
Hawana jipya kwani alichonacho mwafrika na yy ndio hicho hicho anacho cha zaidi rangi tyuuuuuu mzaazi

..mkuu mbona unajichanganya hapo kwenye red, hapo kwenye red pameleta tofauti kubwa sana kati ya black na whites, kuanzia mfumo wa maisha mpaka love...
 
Mazee baada ya misele ya kutosha sasa naona nivute mzungu!!!!!!!!!!
Kiukweli wazungu wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda uharibu, hapo hakutakalika !!!!!

Mzungu mwenyewe awe kutoka kwa Obama, uingereza na vinchi vingine, ikiwa pamoja na wale wanaoishi bongo nitawafikiria baadae sana.

Suala la ngozi nyeupe sijui ni wabaridi, tutawasha hita huko mtoni mambo yatakwenda freshhh.

Kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
alete cv nimuasesi kwanza.:welcome:

cc Heaven on earth

wewe muhitaji ndiye wa kuweka cv yako
 
wewe muhitaji ndiye wa kuweka cv yako

...mi cv yangu ni moja tu, kidume cha ukweli, so wao ndo wanahitaji kufanyiwa upembuzi yakinifu, coz mwisho wa siku mi ndo natoa final kick..
 
Back
Top Bottom