Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.
Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.
Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.
Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?
Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?
Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?
Sheriainanikataza Mimi kula paka ?
Msaada plz.
Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.
Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.
Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?
Kumala kwa kumchemsha sitaweza nahisi nyama yakeinateleza sana vipi nikimkaanga?
Na haki za wanyama je sitaonekana mkatili?
Sheriainanikataza Mimi kula paka ?
Msaada plz.