Natamani kuishi bachela

Natamani kuishi bachela

bad land

New Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
2
Reaction score
0
Ushauri jaman,natamani kuishi bachela kwa sababu nahisi wife ananirudisha nyuma kimaendeleo na ananipa stress tu,lkn kinachonipa tabu ni mtoto tuliemzaa kwa sasa ana 3yrs najiuliza nianzaje ili nimuache
 
ilo ndo tatizo la kujilazimisha kuishi na mtu sababu ya mtoto au ujauzito, mbele ya Safari ni lazima uchemke sababu utashindwa kuvumilia mapungufu ya apa na pale, kama unahisi kutamani kuwa mwenyewe ni bora ukaamua mapema ukiwa tayari ushaandaa mazingira ya matunzo kwa mama na mtoto
 
Wewe ndio wale wale wanaokurupukia ndoa za showoff ili kumrusha ex au marafiki. Matokeo yake ndio haya,tamaa kuwataman wanawake wa nje na kuona wao wazuri kuliko mkeomkeo.
 
Ndio shida ya kukimbilia ndoa

Kuleni ujana kwanza,ohooo!

Ona sasa

Cc Daby
 
Ohoo mpk anafikia hatua anataka kumuacha ina mana kashakubaliana na yote
I won't leave her(my wife) no matter what!!! Kwa jinsi ninavyompenda....siwez kumwacha aisee...love you fasms
 
I won't leave her(my wife) no matter what!!! Kwa jinsi ninavyompenda....siwez kumwacha aisee...love you fasms
Big up kwako .......uyu sijui ndoa yake ilikua ya kulazimishia
 
Ushauri jaman,natamani kuishi bachela kwa sababu nahisi wife ananirudisha nyuma kimaendeleo na ananipa stress tu,lkn kinachonipa tabu ni mtoto tuliemzaa kwa sasa ana 3yrs najiuliza nianzaje ili nimuache
Anakurudishaje nyuma kimaendeleo na stress zipi anakupa?
 
Back
Top Bottom