Nataka Toyota ist nina m4

Nataka Toyota ist nina m4

Ipo la imepata ajali kubwa tu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kuna moja pale Ilala inataka 4m/ ilipata ajali huko kwao inabidi uinunulie pua(nose cut).
 
Kaka fanya juhudi utapata hawa wote ni wale wenye vi ist ssa ukitaja mil. 4 wanaona umewadharau sana wao kuendesha gari ya Mil. 4
 
Kaka fanya juhudi utapata hawa wote ni wale wenye vi ist ssa ukitaja mil. 4 wanaona umewadharau sana wao kuendesha gari ya Mil. 4

...siyo kweli, hiyo gari kuipata kwa bei hiyo ni bahati sana, gari zote zenye low fuel consumption na inakuwa little classic zinauzwa bei ghali, hasa ist
 
4m ni bei ya kununulia kama umeagiza kaka, na hapo umepata kwa bei nzuri, bado ushuru ambao unategemeana ni gari ya mwk gani, all da best!
 
Na mimi nataka ya mil 4 mkuu, ukipata nijulishe tafadhal',,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom