MALISA92
Senior Member
- Aug 29, 2013
- 148
- 56
Nina uhitaji wa nyumba ndogo tu ya chumba kimoja, sebule na choo tu (self contained)..
mambo mengine ninayo taka ni kama vile ikiwa na mita yake ya umeme peke yake itakuwa poa zaidi..
Au pia kama kunapatikana chumba kikubwa vizuri na choo chake nayo pia ni sawa..
Pia ningependelea nyumba hiyo au chumba kiwepo maeneo ya UBUNGO, EXTERNAL, MAKONGO DARAJANI, MWENGE au SINZA
Mwenye nyumba kama hiyo au chumba anicheck PM bila kusahau kunitajia bei.
mambo mengine ninayo taka ni kama vile ikiwa na mita yake ya umeme peke yake itakuwa poa zaidi..
Au pia kama kunapatikana chumba kikubwa vizuri na choo chake nayo pia ni sawa..
Pia ningependelea nyumba hiyo au chumba kiwepo maeneo ya UBUNGO, EXTERNAL, MAKONGO DARAJANI, MWENGE au SINZA
Mwenye nyumba kama hiyo au chumba anicheck PM bila kusahau kunitajia bei.