Nataka niwashtaki YAS (Tigo) kwa kuniibia Bundle

Nataka niwashtaki YAS (Tigo) kwa kuniibia Bundle

Shift

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2014
Posts
1,321
Reaction score
2,687
Ilikua siku ya Jumapili tarehe 06/07/.2025 asubuhi, niliamka nikawa na kazi ya kufanya, tena siku hio sikwenda hata ibadani ili niweze kufanya BIDDING kufanya submission on time. Bila hata kuangalia balance ya bando nikajiunga tena kwa 1.4GB then sikuingia hata online, nikaendelea kufanya kazi, dakika kama tano au kumi nikapata sms kuwa bando imeisha, nikajua labda ni ile iliyokuwepo, kuangalia ni ile niliyojiunga na iliyokuwepo, nikatulia, nikajiunga tena kwa 1.4GB tena, the same, ikaliwa, nikawapigia customer care, wakanipa hadithi zisizo na kichwa wala miguu.

Nikajiunga tena mara ya tatu, na yenyewe ikaliwa, sasa nikawa na 4.2GB kwa chini ya dakika 40. Nikawapigia tena, hapa ndio nikachoka kabisa, nikaulizwa unatumia simu gani? huenda ndoio manaa bando inaliwa, nikamtajia aina ya simu akasema ina support 5G kwahio nitakua nime-download bila kujua. Anyway, sikupata usaidizi wowote.

Matokeo yake, nimeshindwa kufanya submission kwa wakati, nimekasirika na kupata mfadhaiko na nimepoteza 1.4GB mara tatu (4.2GB) plus zilizokuepo........

kwa mazingira kama haya, siwezi kuwashtaki hawa jamaa? This is very painful. Naombeni ushauri tafdhali
 
Wanasheria wa yas wanavyokuangalia..
20250708_180351.jpg
 
Ilikua siku ya Jumapili tarehe 06/07/.2025 asubuhi, niliamka nikawa na kazi ya kufanya, tena siku hio sikwenda hata ibadani ili niweze kufanya BIDDING kufanya submission on time. Bila hata kuangalia balance ya bando nikajiunga tena kwa 1.4GB then sikuingia hata online, nikaendelea kufanya kazi, dakika kama tano au kumi nikapata sms kuwa bando imeisha, nikajua labda ni ile iliyokuwepo, kuangalia ni ile niliyojiunga na iliyokuwepo, nikatulia, nikajiunga tena kwa 1.4GB tena, the same, ikaliwa, nikawapigia customer care, wakanipa hadithi zisizo na kichwa wala miguu.

Nikajiunga tena mara ya tatu, na yenyewe ikaliwa, sasa nikawa na 4.2GB kwa chini ya dakika 40. Nikawapigia tena, hapa ndio nikachoka kabisa, nikaulizwa unatumia simu gani? huenda ndoio manaa bando inaliwa, nikamtajia aina ya simu akasema ina support 5G kwahio nitakua nime-download bila kujua. Anyway, sikupata usaidizi wowote.

Matokeo yake, nimeshindwa kufanya submission kwa wakati, nimekasirika na kupata mfadhaiko na nimepoteza 1.4GB mara tatu (4.2GB) plus zilizokuepo........

kwa mazingira kama haya, siwezi kuwashtaki hawa jamaa? This is very painful. Naombeni ushauri tafdhali
Kwa bongo sijui kama utafanikiwa, ila kwa wenzetu kwa uliyoyasema yana ushahidi apo unaenda kupiga (lawsuit) unawaambia wakulipe milioni 5
kaboom unapata hera yako na wanakuomba radhi
POLE KWA KUA TUPO BONGO HIYO HAMNA KESI
 
kwa bongo sijui kama utafanikiwa, ila kwa wenzetu kwa uliyoyasema yana ushahidi apo unaenda kupiga (lawsuit) unawaambia wakulipe milioni 5
kaboom unapata hera yako na wanakuomba radhi
POLE KWA KUA TUPO BONGO HIYO HAMNA KESI
Inaumiza sana sana
 
Angalia kama huna Video yoyote unayoipakua bila kujua, kama YouTube au Vidmate au mwingine kokote, pia angalia kwenye Play Store kama umeruhusu Automatic Apps updating?

Njia nyingine angalia kwenye jukwaa la tech and gadgets Kuna nyuzi zinaeleza jinsi ya kuzuia bando kuisha haraka.
 
Angalia kama huna Video yoyote unayoipakua bila kujua, kama YouTube au Vidmate au mwingine kokote, pia angalia kwenye Play Store kama umeruhusu Automatic Apps updating?

Njia nyingine angalia kwenye jukwaa la tech and gadgets Kuna nyuzi zinaeleza jinsi ya kuzuia bando kuisha haraka.
Aaagh wapi, nilimwambia aangalie matumizi yangu, na akaona interval ya 48hrs to 72hrs, akaniambia tungalie hayo unayoyasema, nikamwambia hayo yote nayafahamu, sio kwamba nimeanza kutumia leo, haiwezekani niwe kwa mwezi mzima natumia kwa interval hio na kwa activities zile zile leo unambie kuwa ndani ya dakika 40+ niwe nimetumia 4.5GB.

Tukaenda hadi whatsapp tukakuta kote nime-restrict hizo autdownload, kwa kifupi, options zote alizosema zilikua za kipumbavu maana matumizi yangu nayafahamu. sasa hebu nishauri kitu cha tofauti. Hawa ni wezi tu.
 
Back
Top Bottom