Nataka nirudi kusali naogopa kutegwa

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2017
Posts
1,011
Reaction score
1,915
Habari.

Nilikuwa njmeokoka Ila baada ya mihangaiko ya kimaisha nikajikuta niko mbali na kufanya chochote kinachohusiana na mambo ya Kiroho.

Mwaka Jana mwanamke niliyempa mimba alijifungua mtoto.

Nimejitafakari nimeona nirudi kanisani.

Ninaogopa sana suala la kutegwa.

Ninaogopa kusemwa vibaya na watu maana nilikuwa mtumishi haswa.

Nimefikiria nimeona bora nihame kanisa.
 
Hili ndilo tatizo. Watu siku hizi hasa wakristo wanaenda kanisani si kwa sababu wanaenda kuabudu au wanampenda Mungu ila wanaogopa kitengwa, wanataka tu wajisikie nao ni part of the community.

Wanawaza nikifa sitozikwa, au nitakosa support nikipatwa na tatizo. Hii ndio sababu mchana kwenye mwanga wanajifanya walokole, gizani wazinzi balaa.

Ni kwa sababu kama mtoa mada hawamwogopi Mungu bali wanaogopa waumini na mchungaji asijue
 
Umenielewa nilishatubu mapema Sana.

Ila kwa sasa nitaka nirudi kanisani kusali
 
We nenda tu,waeleze ulipata changamoto,sasa Mungu kakusaidia zimeisha unaomba kurudi kundini ,utapewa utaratibu na ibada itaendelea [emoji120]usimwogope mwanadamu,mwogope muumba wako pekee.
Asante kwa ushauri mkuu.
 
Hawa jamaa RC sina hamu nao nakumbuka waligoma kufungisha ndoa yangu kisa sijaudhuria kanisani na sijashiriki jumuiya kwa muda wa miaka 3.nikasema sio kesi nikaenda kwa walokole fasta tu ndoa ikafungwa
Hahah kwahiyo umeokoka siyo? karibu kundini ndugu 🙏
 
Kutegwa au kutengwa? Jifunze kuandika kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…