mtemi tagallah
Senior Member
- Apr 4, 2015
- 101
- 57
Habari zenu? Ndugu zangu mimi napenda sana kuwa mjuzi na mbobezi wa Adobe After effects katika kutengeneza video introduction na video editing pia napenda niwe mjuzi katika Adobe Photoshop C6 ili niweze kudesign na kutengeneza matangazo, posters, brochure, hata kuedit picha.
Nachojua Katikati Adobe Photoshop ni kuinstall na kufanya cracking ikiwemo kuchange background ya picha na kutengeneza posters au brochures kwa ujanja ujanja, Nifanyeje ili niwe mbobezi wakuu??
Nachojua Katikati Adobe Photoshop ni kuinstall na kufanya cracking ikiwemo kuchange background ya picha na kutengeneza posters au brochures kwa ujanja ujanja, Nifanyeje ili niwe mbobezi wakuu??