Nataka mke wakuoa

Nataka mke wakuoa

UGORO87

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
824
Reaction score
383
WanaJF nimempata kijana wakulisha ng'ombe.sasa hivi nahitaji mke wakuoa.

Ila sharti awe na ng'ombe moja au angalau hata na milion moja.
 
Nimesema ngombe au milion moja sbb mm tayar iko na uchumi mzur nayy achangie kdgo..mm nilivyokuw sina walikuw hawanitak
 
Mkuu ugoro kwahapo nimekukubali mwanaume saaaafii sna
 
mbona hamna wakunipm au mmeisha?au nilegeze masharti?au mnatakaje au haumpo?
 
Ugoro upo! mkali sana, shs 500/= tu.!

lol!
 
Last edited by a moderator:
Tena aje na kianzio cha vyombo vyake,na kochi hata moja la kukalia ndugu zake.tumechoka na hawa mizigo.siku mkiachana anataka pasupasu.
 
so jukumu la mwanamke ni kubeba mimba tu? kweli gender balance haitakaa iwepo make wanawake wamezoea kununuliwa kama bidhaa. sasa huyu jamaa hataki kununuliwa ila anamtaka mwenye hicho waanzishe life. tatizo liko wapi?
 
jaman c tunasaidiana..au huwa mnataka cc wanaume ndyo tuwenayo tu..basi naomben hata mwenyekaz km mwl au nesi anipm
 
Wewe ndie unaeoa au kuolewa? Kama vipi katangaze mbele hko ndio wana michongo hyo nenda sweden utapata
 
jamani c tayari ameshajiandaa na maisha anataka wakusaidiananaye angalau mwye ki2 kidogo..jamaa yupo fresh tu kimawazo
 
Back
Top Bottom