Nataka mke wa kuoa

Nataka mke wa kuoa

Hukutani na wagonjwa na wanakuja kuuguza udake mmoja
 
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza nataka mke wa kuoa na sio natafuta,ninamaana .

Sifa zake ziwe;
Awe umri kati ya 19-23
Muislam
Kabila lolote
Awe brand new (BIKRA)
awe na uzioto 48-56
Elimu yoyote isipokua chuo
Awe mwembamba mwenye shepu
Akiwa na dimpoz itapendeza zaidi
Asiwe na mtoto
Mrefu kiasi na mweupe natural
Awe mcheshi
Asiwe na kazi yoyote
Awe tayari kuhamia Dar es Salaam

Sifa zangu;
Miaka 26
Nimeajiriwa hospital ya serikali
Nipo Dar es Salaam
Mweupe kiasi
Mrefu kiasi
Napenda drifting

Njooo inbox ukiwa unakidhi vigezo
Kwa vigezo hivyo,ta oda kwa Elon Musk akutengenezee roboti.
 
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza nataka mke wa kuoa na sio natafuta,ninamaana .

Sifa zake ziwe;
Awe umri kati ya 19-23
Muislam
Kabila lolote
Awe brand new (BIKRA)
awe na uzioto 48-56
Elimu yoyote isipokua chuo
Awe mwembamba mwenye shepu
Akiwa na dimpoz itapendeza zaidi
Asiwe na mtoto
Mrefu kiasi na mweupe natural
Awe mcheshi
Asiwe na kazi yoyote
Awe tayari kuhamia Dar es Salaam

Sifa zangu;
Miaka 26
Nimeajiriwa hospital ya serikali
Nipo Dar es Salaam
Mweupe kiasi
Mrefu kiasi
Napenda drifting

Njooo inbox ukiwa unakidhi vigezo
Mbona unawaogopa wa chuo😂😂😂
 
Awe bikra na asiwe na mtoto , kumbe demu anaweza kuwa bikra afu akawa na mtoto na hamsemi daaa😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom