Tumbili in town
JF-Expert Member
- Jun 20, 2025
- 340
- 500
Hawa wenye sifa hizi hawamo humu JF kwa hiyo hawawezi kuona huu ujumbeKama kichwa Cha habari kinavyojieleza nataka mke wa kuoa na sio natafuta,ninamaana .
Sifa zake ziwe;
Awe umri kati ya 19-23
Muislam
Kabila lolote
Awe brand new (BIKRA)
awe na uzioto 48-56
Elimu yoyote isipokua chuo
Awe mwembamba mwenye shepu
Akiwa na dimpoz itapendeza zaidi
Asiwe na mtoto
Mrefu kiasi na mweupe natural
Awe mcheshi
Asiwe na kazi yoyote
Awe tayari kuhamia Dar es Salaam
Sifa zangu;
Miaka 26
Nimeajiriwa hospital ya serikali
Nipo Dar es Salaam
Mweupe kiasi
Mrefu kiasi
Napenda drifting
Njooo inbox ukiwa unakidhi vigezo
Huyo used simtaki
Ukiingia humo unakutana na libwawa hapo hata mix by yas ni ya kubahatisha si bora niendelee kuji dronedrakemcheki huyu
Natafuta mwanaume wa kunioa
Habari wakuu Natafuta mwanaume aliemaliza ujana awe tayar kwa ndoa Sifa zangu Miaka 33 Kabila mchaga Dini Mkristo Sina mtoto Naishi Dsm Kazi Biashara SIfa za mwanaume Miaka 35 -45 Dini Mkristo Watoto wasizid 2 km atakua nao Awe na kipato halali inamaana awe anajishughulisha Makazi popote...www.jamiiforums.com
mtoto bado m'bichii
Wale wameshindikana mtu mwenye akili timamu haendi kukeNenda kwenye hema la mwamposa wamejaa kedekede, unajipakulia tu minyama.
Wapo wapi blohHawa wenye sifa hizi hawamo humu JF kwa hiyo hawawezi kuona huu ujumbe
Nihadithie blohhebu tafuta vumbi tia maji liwe tope,kisha muumbe mwenyewe uyo mwanamke
NATAKA, wako ndio wenye kuhitaji zaidi kuolewaHebu kua na adabu kidogo... Unataka, unaomba au unatafuta?
Nikilewa mniache
ngoja bloh akija atafanya ivo,mi ni manziNihadithie bloh
Wee hutaki ongeza mke????