Hueleweki mzee ni wewe au mdogo ako?Habari zenu waungwana,nina mdogo wangu anatarajia kwenda kimasomo nchini Yemen,Napenda kufahamu mazingira ya huko Yemen,je hali ya kiusalama ikoje
mwambie R.I.P in advanceHabari zenu waungwana,nina mdogo wangu anatarajia kwenda kimasomo nchini Yemen,Napenda kufahamu mazingira ya huko Yemen,je hali ya kiusalama ikoje
😀😀😀😀😀😀 hizi commet nyengine shidaaMwambie aje Pemba nimuuzie Jini la Kumlinda
mirathi je?Wakati wenzao wameamua kurudi
Yemen haiko salama ndio hali iliyopelekea baadhi ya watz kuamua kurudi sijui hali ya kiusalama kwa sasaWamerudi kisa nini
Mirathi imefanyajemirathi je?
Mkuu Mazina, usiogopeshwe na maneno ya kike...!! kama mdogo wako dume aende akapambane na maisha.. Matatizo yaliyopo ni minor cases!! lakini elimu ipo na ilm ipo yani (Dini na Dunia) halafu kama anajiweza kuna kazi zakutosha katika ujenzi na ufundi !! Tatau currency yao ipo juu kuliko nchi za KiAfrika!! zaidi tu asiwe na tabia ya uzinzi au kufuata wanawake, tahadhari WATAMMALIZA tu !!Wamerudi kisa nini