small mind
Senior Member
- Jun 1, 2012
- 129
- 58
Habari za wakti huu,
Mimi ni mwanaume 30+ Nahitaji kujiingiza katika fani ya Utafiti (Bado sijachagua eneo la uzamifu) Ingawa napendelea zaidi kuwa mtafiti katika eneo la Sayansi ya Jamii ambalo naamini ni eneo ambalo bado linahitaji tafiti za kina katika mambo anuai.
Ombi langu kwa sasa ni kutaka kupata ushauri kutoka kwa wana JF kuhusu shughuli za utafiti kama biashara, huduma je zinalipa? Je fursa zipo za kutosha? Je ni kwa namna naweza kuanzisha shughuli za utafiti kwa hapa Tanzania?
Asanteni
Mimi ni mwanaume 30+ Nahitaji kujiingiza katika fani ya Utafiti (Bado sijachagua eneo la uzamifu) Ingawa napendelea zaidi kuwa mtafiti katika eneo la Sayansi ya Jamii ambalo naamini ni eneo ambalo bado linahitaji tafiti za kina katika mambo anuai.
Ombi langu kwa sasa ni kutaka kupata ushauri kutoka kwa wana JF kuhusu shughuli za utafiti kama biashara, huduma je zinalipa? Je fursa zipo za kutosha? Je ni kwa namna naweza kuanzisha shughuli za utafiti kwa hapa Tanzania?
Asanteni