mchaga mix kolom
Member
- Nov 1, 2016
- 19
- 6
Mimi ndo naanza ufugaji wa kuku sijajua mashine zinapatikana wapi mimi Nipo vikindu aliopo maeneo ya mbagala anijuze
Kama ni wakienyeji kwanini usitafute kuku tetea na jogoo hata moja uanze nao?Wakienyeji na mayai ninayo trey 3
Ok nimekupata mkuu!Mitete ninayo kama mitano Ndio nimekusanya mayai yao ili waongezeke kwa haraka