Melon Micky
Member
- Sep 13, 2020
- 25
- 73
Kuna mambo mengine nafikiri(kwa maoni yangu) si ya kuomba ushauri.
Mfano ukipata maoni mengi ya kukutaka usimsaidie huyo kijana utafanya hivyo?
Kijana jifunze kujisikiliza, sikiliza sauti ya ndani yako vile inasema nawe, sikiliza moyo wako unavyokuambia na kisha ufuate.
Mfano ukipata maoni mengi ya kukutaka usimsaidie huyo kijana utafanya hivyo?
Kijana jifunze kujisikiliza, sikiliza sauti ya ndani yako vile inasema nawe, sikiliza moyo wako unavyokuambia na kisha ufuate.