Nataka kupiga chini huyu mwanamke

Nitakushauri jambo baadae
 
Mzee baba hayo mambo madogo sana haja kucheat la muhimu hilo lenye kuweza kuwaachanisha. Mengine mshauriane bwana. Fanya kikao na mkeo chumbani kwako kwa ajili ya future yenu msikilizane. Ajira ngumu kupatikana na maslahi machache msikilize kwa undani. Ukute wewe ndio mwenye makosa ya kutompa nafasi ya kujielezea au kupanga mipango yenu
 
Mbona mimi sijaona sababu za kutosha za kuumuacha huyo mwanamke

Tuliza akili ongea na dada zake kama hakuelew
 
"university dropout so sina professional," hauna professional umekazia udropout wako mr. Professional womenaiza ndiyo professional yako, tatizo ubongo ulipotoka kwenye kichwa chenye hadhi ukaenda kwenye kichwa mufilisi.
1-drop out=hakumaliza(?),
2-kukosa proffession=moja kwa moja hakupata kwa sababu ali-drop out.
Tumuelewe ingawa amejinasibu ni msomi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…