naomba kazi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 253
- 213
Habarini wana body, nataka kununua tv, ila iwe inchi 43, napendelea sana kampuni ya LG au Samsung
Changamoto inakuja kutofautisha Kati ya smart tv na tv ya kawaida,
Naombeni kujuzwa smart tv ina nini bora na cha maana ukinganisha na tv za kawaida (HD)
KARIBUNI
Changamoto inakuja kutofautisha Kati ya smart tv na tv ya kawaida,
Naombeni kujuzwa smart tv ina nini bora na cha maana ukinganisha na tv za kawaida (HD)
KARIBUNI