Nataka kununua TV Flat Sceen 32

Nataka kununua TV Flat Sceen 32

Joined
Jan 10, 2013
Posts
18
Reaction score
1
Jamani wana JamiiForums naomba mnipe specifications za TV flat screen 32 aina yoyote nzuri bei kuanzia Tsh. 600,000 hadi 700,000..

Nipo jijini Arusha.
 
THE BOSS, jambo la muhimu hasa ni specifications na hiyo price range... kama zipo nitaamua sasa
 
Mcheki huyo jamaa kwa number hiyo 0718268969 anauza tv haina zote atakusaidia name kwa being ooa.
 
Tv inch32 zinaanzia LCD 660,000. Led 700,000, 750,000. 780,000

Bei za wapi hizi? Na huyu jamaa mwenyewe sijui anaishi wapi? Mbona huku kwetu LG ya size hiyo kwa 600,000/= unapata! ZEG ya 34" unapata kwa 600,000/= LED ukikomaa ku-bargain hata kwa 580,000 unapata!
 
Bei za wapi hizi? Na huyu jamaa mwenyewe sijui anaishi wapi? Mbona huku kwetu LG ya size hiyo kwa 600,000/= unapata! ZEG ya 34" unapata kwa 600,000/=

Kwako ndo wapi kaka..? Unauliza hujui huyo mwingine anaishi wapi, na hapo hapo unatuweka katika giza kuhusu sehem unayo zitajia hizo bei... mpaka tukuulize??

WanaJF tuna mambo kweli kweli mara zingine..
 
utaki mtumba??
nimeashindwa kununua kingamuzi
NAUZA TV MAANA INA JAA VUMBI
 
Kwako ndo wapi kaka..? Unauliza hujui huyo mwingine anaishi wapi, na hapo hapo unatuweka katika giza kuhusu sehem unayo zitajia hizo bei... mpaka tukuulize??

WanaJF tuna mambo kweli kweli mara zingine..

Pole Mkuu nisamehe kwa bure!!!

Mimi niko huku kanda ya Ziwa!
 
Unataka tv ya bei gani na haina gani nikupe chimbo huwasiliane naye? Bt mpya tu siyo used
 
asai dada;9533961]na wewe unataka tv???

NA MIMI NILINUNUA MTUMBA HATA SINA DETAIL[/QUOTE]

Ha,haa,haaaaaa,haaaaaaaaaa...!!! Nimecheka hadi watoto wananishangaa.jf kuna jibu kwa kila swali...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom