Nataka kununua pete ya ndoa

Nataka kununua pete ya ndoa

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
623
Wakuu naombeni ujuzi , kwa bajeti ya laki 2 ntaweza kupata pete aina gani? Mimi nipo Dar , ukinielekeza na duka itapendeza zaidi.
Sijui kwa gram zinauzwa, au ni vipi
 
Nenda magomeni mapima karibu na kanisa uliza sonara Nchimbi ,nyuma ya kituo cha basi kama unaenda jangwani
 
Nenda kwenye duka lolote la sonara,inategemea unataka ya madini gan? Kama ni silver nadhan gram 1 ni kama elfu na kitu hivi ila Gold inarange kuanzia 80 mpka 150 kwa gram 1 so hapo inategemea na ww mteja
 
Wakuu naombeni ujuzi , kwa bajeti ya laki 2 ntaweza kupata pete aina gani? Mimi nipo Dar , ukinielekeza na duka itapendeza zaidi.
Sijui kwa gram zinauzwa, au ni vipi
Njoo pm nikupe namba na mawasiliano ya wahusika
 
Kwahiopesa ukiongeza laki2 unapata mbiki za ndoa na moja engagement mzuri na utazipenda maana mie nilichujua huko miezi kadhaa iliopita
 
0713503503, 0687503503, 0752503503, Kariakoo, mimi last week on Thursday nimepata kwake japo ilikuwa ya engagement .
 
Wakuu naombeni ujuzi , kwa bajeti ya laki 2 ntaweza kupata pete aina gani? Mimi nipo Dar , ukinielekeza na duka itapendeza zaidi.
Sijui kwa gram zinauzwa, au ni vipi
Laki mbili pete ngap? Unataka ya madin gan? Gramu bei @125k
 
Kuna pete za Nike zinauzwa 500 kuna machinga anatembeza nikipata namba yake nakupa.
 
Kariakoo mtaa wa chikichi angalia ukifika bank ya NMB upande wa pili utayaona kuanzia namba 20 utapata mpaka 65k
 
Asanteni
Namba yangu 0716 282670 ,
Nitumie whatsap picha na bei km ni muuzaji.
 
Nenda kwenye duka lolote la sonara,inategemea unataka ya madini gan? Kama ni silver nadhan gram 1 ni kama elfu na kitu hivi ila Gold inarange kuanzia 80 mpka 150 kwa gram 1 so hapo inategemea na ww mteja
Asante
 
NENDA MADUKA YA WAHNDI HUKO.. ILA ALMAS NDIYO PETE GHARI HUKU SILVER NDO BEI YA CHINI
 
Kuwa makini na kariakoo!
utauziwa bati wakuambie ni silva
 
Wakuu naombeni ujuzi , kwa bajeti ya laki 2 ntaweza kupata pete aina gani? Mimi nipo Dar , ukinielekeza na duka itapendeza zaidi.
Sijui kwa gram zinauzwa, au ni vipi


kwa kiasi cha laki mbili hutapata pete mbili za gold maana gram 1 inaenda 125,000
 
Back
Top Bottom